namshitu kazeni
Member
- Jan 31, 2012
- 18
- 0
senior expert member, I like you signature sir/madam
Kuhusu vyama vya Upinzani kuhusika kusema kweli binafsi yangu sidhani kama kuna ukweli wowote maana Chadema kwa kupitia mbunge wetu Mnyika walijaribu kujihusisha na mgomo wa kwanza wakapigwa breki mapema na kusema wasiingilie hayawahusu. Sisi wote hapa tuliwaunga mkono tukaambiwa sii swala letu bali lao wao na wata deal na serikali lakini tuliposoma vipaumbele tukaweka mashaka swala hili linakopelekwa. Jambo la pili madaktari wengi nchini ni wana CCM wenyewe tena wengine tuko nao JF, Tweet na tunawasoma kwa hiyo sidhani kama vyama vya Upinzani vinahusika pengine ndani ya CCM yenyewe ndiko kunakotokea hatya madudu maana kuna power struggle within.Mkandara;
Nimekupata tatizo la madai ya madaktari halitokani MoU; wanapigania kuboreshwa kwa maslahi na huduma za afya, hotuba ya mh. Raisi Kikwete imeeleza wazi juhudi za serikali katika kufanikisha madai ya madaktari; mengi hatukuyajua mpaka baada ya hotuba Raisi, mimi nadhani viongozi wanaohusika na majadiliano walikuwa wanaonyeshana ubabe kuliko busara, kama Raisi angekuwa mstari wa mbele kupitia ofisi ya Raisi naamini huu mgogoro usingefikia hapa; imedhihirsha wazi mh. Pinda kazi hii ya usuluhishi imemshinda; inaonekana ndani ya mgomo huu kuna mashinikizo ya kisiasa; wapo wanasiasa wana agenda za siri suala linalipiganiwa si mil.3.5; mimi bado naunga mkono hoja zao ila ikiwa serikali inayafanyia kazi madai yao sababu ya kugoma ilikuwa ni nini? Namsubiri Dr. Mkopi aje na maelezo kama yapo; Mkandara sasa hivi nimeanza kuamini wanasisa wa upinzani wapo ndani ya sakata hili, hawa madaktari wanatumika kisiasa vuta subira utasikia mengi.
Chama
Gongo la Mboto DSM
mmh! JK ana kazi kubwa kwenye hili...Atatue ipasavyo!