Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,500
- 19,341
(1) Tanzania ni kati ya nchi zenye watu wengi sana Afrika
(2) Tanzania ni kati ya nchi zinzopewa sana misaada Afrika
(3) Tanzania ni kati ya nchi zenye kuchimba dhahabu sana duniani
(4) Lakini Tanzani ni kati ya nchi maskini sana duniani
(5) Tanzania pia ni kati ya nchi ambazo watoto wake wengi hufa wakati wa kuzaliwa.
(6) Vile vile Tanzania ni kati ya nchi zenye maambukizi mengi ya ukimwi duniani
(7) Kinachonishangaza ni takwimu kuonyesha kuwa Tanzania si moja ya nchi ambazo watu wake hawana kazi. Yaani haimo kwenye list ifuatayo
Je namba hizi zinaonyesha kuwa Watanzania tunapunjwa sana kwenye ajira kiasi kuwa pamoja na wengi wetu tuna kazi, lakini bado tu maskini?
(2) Tanzania ni kati ya nchi zinzopewa sana misaada Afrika
(3) Tanzania ni kati ya nchi zenye kuchimba dhahabu sana duniani
(4) Lakini Tanzani ni kati ya nchi maskini sana duniani
(5) Tanzania pia ni kati ya nchi ambazo watoto wake wengi hufa wakati wa kuzaliwa.
(6) Vile vile Tanzania ni kati ya nchi zenye maambukizi mengi ya ukimwi duniani
(7) Kinachonishangaza ni takwimu kuonyesha kuwa Tanzania si moja ya nchi ambazo watu wake hawana kazi. Yaani haimo kwenye list ifuatayo
Je namba hizi zinaonyesha kuwa Watanzania tunapunjwa sana kwenye ajira kiasi kuwa pamoja na wengi wetu tuna kazi, lakini bado tu maskini?