Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Nimelazimika kuanzisha thread mpya kuhusiana na suala hili kwa kuwa binafsi sioni kwamba hili ni suala la kisiasa, pili thread iliyopo inamuongelea Balozi Maajar na JF as if tukio zima lilikuwa kwa ajili yao, tatu wachangiaji wengi wanaochangia kwenye thread iliyopo wamekuwa dragged into negativity and it sounds as if it was just a waste of time and money, naomba kwa wale walio bahatika kuwepo tujadili mazuri yaliyojiri, naamini wenzetu walioko kona mbalimbali za dunia ndio wanayotaka kusikia...
Kwa wengi tulioko ughaibuni Real Estate ni nyanja ambayo kila mtu ana interest nayo. Habari njema ni kwamba Commercia Bank Of Africa wanatoa 100% financing kwa ununuzi wa nyumba kuanzia kiasi cha Tshs 20m up to 350m na kizuri zaidi una nafasi ya kufanya malipo haya kwa kipindi cha miaka 15!
Contacts zao ni: Simu-+255 22 213 0113
Email-info@cba.co.tz
Web-www.cba.co.tz
Pia National Housing Corporation wana projects mpya maeneo mbalimbali nchini, kwa Dar kuna nyumba za Mbweni zinazo range kati ya Tsh. 72m up to 142m na terms za malipo ni 50% down payment then unalipa remaining balance in 1 year.Hizi terms zao ni ngumu lakini kuna matumaini zitabadilika kwa kuwa Gavana alidokeza kwamba muswada wa masuala ya mortgage umeshapelekwa bungeni.
NHC contacts:-Tel-+255 22 2851590/2851135
Email-dg@nhctz.com
Web-www.nhctz.com
Na mwisho kabisa naungana na mabankers wote waliiongea jana kuwa ni muhimu wote tulioko ughaibuni tuwe na saving accounts nyumbani (sio lazima iwe kwenye madafu, unaweza kufungua in USD au pounds) ili tusaidie kuboost economy in one way or another. Pia CEO wa DSM sock exchange ameshauri watu tufanye savings kwa ku invest kwenye shares kwa kuwa zinalipa zaidi kuliko kuweka hela bank, the choice is yours.....
Kila la heri.
Kwa wengi tulioko ughaibuni Real Estate ni nyanja ambayo kila mtu ana interest nayo. Habari njema ni kwamba Commercia Bank Of Africa wanatoa 100% financing kwa ununuzi wa nyumba kuanzia kiasi cha Tshs 20m up to 350m na kizuri zaidi una nafasi ya kufanya malipo haya kwa kipindi cha miaka 15!
Contacts zao ni: Simu-+255 22 213 0113
Email-info@cba.co.tz
Web-www.cba.co.tz
Pia National Housing Corporation wana projects mpya maeneo mbalimbali nchini, kwa Dar kuna nyumba za Mbweni zinazo range kati ya Tsh. 72m up to 142m na terms za malipo ni 50% down payment then unalipa remaining balance in 1 year.Hizi terms zao ni ngumu lakini kuna matumaini zitabadilika kwa kuwa Gavana alidokeza kwamba muswada wa masuala ya mortgage umeshapelekwa bungeni.
NHC contacts:-Tel-+255 22 2851590/2851135
Email-dg@nhctz.com
Web-www.nhctz.com
Na mwisho kabisa naungana na mabankers wote waliiongea jana kuwa ni muhimu wote tulioko ughaibuni tuwe na saving accounts nyumbani (sio lazima iwe kwenye madafu, unaweza kufungua in USD au pounds) ili tusaidie kuboost economy in one way or another. Pia CEO wa DSM sock exchange ameshauri watu tufanye savings kwa ku invest kwenye shares kwa kuwa zinalipa zaidi kuliko kuweka hela bank, the choice is yours.....
Kila la heri.