Sonara
JF-Expert Member
- Oct 2, 2008
- 726
- 68
Haikunishangaza kuliona hili linatoke kwani matendo kama haya yamekuwa yakiendelezwa kwa kasi na kwa makusudi na upande wa Tanzania Bara (Tanganyika) leo inakuwaje Ublalozi wa United Republic Of Tanzania kule Marekani unatayarisha kitu kinachoitwa Tanzania day na kupotosha chimbuko la hicho kinacho sherehekewa kuwa ni Tanzania ?nimeangalia pembe zote za kuta na kuona picha za akina Kambarage na wengine huku ikikosekana picha moja ya Muasisi wa hiyo Tanzania tunayojivunia (Marehemu Mzee Abeid Aman Karume)