Tanzania Day in Washington as Tanganyika Day or as United Republic of Tanzania?

Sonara

JF-Expert Member
Oct 2, 2008
726
68
Haikunishangaza kuliona hili linatoke kwani matendo kama haya yamekuwa yakiendelezwa kwa kasi na kwa makusudi na upande wa Tanzania Bara (Tanganyika) leo inakuwaje Ublalozi wa United Republic Of Tanzania kule Marekani unatayarisha kitu kinachoitwa Tanzania day na kupotosha chimbuko la hicho kinacho sherehekewa kuwa ni Tanzania ?nimeangalia pembe zote za kuta na kuona picha za akina Kambarage na wengine huku ikikosekana picha moja ya Muasisi wa hiyo Tanzania tunayojivunia (Marehemu Mzee Abeid Aman Karume)
 
nimeangalia pembe zote za kuta na kuona picha za akina Kambarage na wengine huku ikikosekana picha moja ya Muasisi wa hiyo Tanzania tunayojivunia (Marehemu Mzee Abeid Aman Karume)

Acha uchochezi, hizi za vivutio vya utalii kama masalia ya binadumu wa kale aliyeishi kule Olduvai hukuziona ? Lengo lilikuwa kutangaza utalii wa Tanzania na sio kuleta siasa katika utendaji.
 
Acha uchochezi, hizi za vivutio vya utalii kama masalia ya binadumu wa kale aliyeishi kule Olduvai hukuziona ? Lengo lilikuwa kutangaza utalii wa Tanzania na sio kuleta siasa katika utendaji.

Si dhani kama hilo lilikuwa ndio lengo moja peke yake kwa kudhihirisha hilo ni huo uwekaji wa wasisi wa Tanzania mmoja kuenziwa yani Kambarage ili hali kwa sasa amesha fika akhera na kumfanyia dharau kwa makusudi Marehemu Mzee Abeid Amani karume ambae nae ameshatangulia akhera. hii ni sawa na kutomtambuwa mmoja kati ya wazazi wako unapofanya hivyo unafanya kwa makusudi na sio kwa bahati mbaya .
 
Damn! Wamechelewa kidogo hawa watanzania. Wangeifanya hii sherehe week 2 zilizopita wakati Maali Seif akiwa huko, tena wangemualika kama mgeni rasmi ili ahutubie!
 
Si dhani kama hilo lilikuwa ndio lengo moja peke yake kwa kudhihirisha hilo ni huo uwekaji wa wasisi wa Tanzania mmoja kuenziwa yani Kambarage ili hali kwa sasa amesha fika akhera na kumfanyia dharau kwa makusudi Marehemu Mzee Abeid Amani karume ambae nae ameshatangulia akhera. hii ni sawa na kutomtambuwa mmoja kati ya wazazi wako unapofanya hivyo unafanya kwa makusudi na sio kwa bahati mbaya .

Kama huo ndio mfano wako basi wako sahihi kabisa! Yawezekanaje kuwa na wazazi wawili wa kiume? Ha ha ha ha ha!
 
Haikunishangaza kuliona hili linatoke kwani matendo kama haya yamekuwa yakiendelezwa kwa kasi na kwa makusudi na upande wa Tanzania Bara (Tanganyika) leo inakuwaje Ublalozi wa United Republic Of Tanzania kule Marekani unatayarisha kitu kinachoitwa Tanzania day na kupotosha chimbuko la hicho kinacho sherehekewa kuwa ni Tanzania ?nimeangalia pembe zote za kuta na kuona picha za akina Kambarage na wengine huku ikikosekana picha moja ya Muasisi wa hiyo Tanzania tunayojivunia (Marehemu Mzee Abeid Aman Karume)

Wewe kweli sonara.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom