Tanzania daima waanza tena kuhujumu Vita ya wizi wa madini.

Jobongo

New Member
May 19, 2017
4
219
Vita ya uchumi ni ngumu, imefikia hatua baadhi ya watanzania wenzetu waliotuzungusha mikono wakitaka tuwape nchi walete mabadiliko leo hii ndio wako kifua mbele kuhujumu nchi.

Mwenendo wa baadhi ya wabunge na gazeti la Tanzania daima ni wa kutiliwa shaka.
Tangu kuibuka kwa Vita kali ya dawa za kulevya habari zinazowekwa mbele na hili gazeti hazina utafiti wala tija yoyote kwa watanzania.

Kitendo cha leo kuibuka na front page kwua hatuibiwi kwenye mchanga wa madini inasikitisha sana

Gazeti hili ni dhahiri sasa linatumika na mafisadi kujisafisha .

Tafiti hupingwa kwa utafiti, huwezi ukawa umejifungia ndani tu alafu ukaping utafiti watu wenye akili timamu na wenye uchungu na nchi yao wakakuelewa.

Magazeti ya Tanzania daima ,Mawio na mwanahalisi itabidi wajitafakari kwa sasa wanamtetea nani kwenye maandiko yao???
 
Vita ya uchumi ni ngumu, imefikia hatua baadhi ya watanzania wenzetu waliotuzungusha mikono wakitaka tuwape nchi walete mabadiliko leo hii ndio wako kifua mbele kuhujumu nchi.

Mwenendo wa baadhi ya wabunge pampas na gazeti la Tanzania daima ni wa kutiliwa mashaka.
Tangu kuibuka kwa Vita kali ya dawa za kulevya habari zinazowekwa mbele na hili gazeti hazina utafiti wala tija yoyote kwa watanzania.
Gazeti hili ni dhahiri sasa linatumika na mafisadi kujisafisha .

Tafiti hupingwa kwa utafiti, huwezi ukawa umejifungia ndani tu alafu ukaping utafiti watu wenye akili timamu na wenye uchungu na nchi yao wakakuelewa.

Magazeti ya Tanzania daima ,Mawio na mwanahalisi itabidi wajitafakari kwa sasa wanamtetea nani kwenye maandiko yao???
Hata wewe unaandika usicho kijua kwa kina kama hao tanzania daima wako , mambo yaserikali hii ya tanzania kuna wakati inabidi ukae kimya tu kusubiri matokeo buila kuongea chochote maana kuna wakati utapata shida kutengua ushuhuda wako.
 
Hata wewe unaandika usicho kijua kwa kina kama hao tanzania daima wako , mambo yaserikali hii ya tanzania kuna wakati inabidi ukae kimya tu kusubiri matokeo buila kuongea chochote maana kuna wakati utapata shida kutengua ushuhuda wako.
Na hakuna ulazima tu wa kuandika hayo mambo
 
Vita ya uchumi ni ngumu, imefikia hatua baadhi ya watanzania wenzetu waliotuzungusha mikono wakitaka tuwape nchi walete mabadiliko leo hii ndio wako kifua mbele kuhujumu nchi.

Mwenendo wa baadhi ya wabunge pampas na gazeti la Tanzania daima ni wa kutiliwa mashaka.
Tangu kuibuka kwa Vita kali ya dawa za kulevya habari zinazowekwa mbele na hili gazeti hazina utafiti wala tija yoyote kwa watanzania.
Gazeti hili ni dhahiri sasa linatumika na mafisadi kujisafisha .

Tafiti hupingwa kwa utafiti, huwezi ukawa umejifungia ndani tu alafu ukaping utafiti watu wenye akili timamu na wenye uchungu na nchi yao wakakuelewa.

Magazeti ya Tanzania daima ,Mawio na mwanahalisi itabidi wajitafakari kwa sasa wanamtetea nani kwenye maandiko yao???
Hapo sasa tujadili nini?Umeandika mipasho mpaka umesahau mzizi wa hoja yako!Unategemea hapo msomaji aelewe gazeti limefanya nini au unadhani kila mtu yuko kichwani kwako?
Rubish,period!
 
Vita ya uchumi ni ngumu, imefikia hatua baadhi ya watanzania wenzetu waliotuzungusha mikono wakitaka tuwape nchi walete mabadiliko leo hii ndio wako kifua mbele kuhujumu nchi.

Mwenendo wa baadhi ya wabunge pampas na gazeti la Tanzania daima ni wa kutiliwa mashaka.
Tangu kuibuka kwa Vita kali ya dawa za kulevya habari zinazowekwa mbele na hili gazeti hazina utafiti wala tija yoyote kwa watanzania.
Gazeti hili ni dhahiri sasa linatumika na mafisadi kujisafisha .

Tafiti hupingwa kwa utafiti, huwezi ukawa umejifungia ndani tu alafu ukaping utafiti watu wenye akili timamu na wenye uchungu na nchi yao wakakuelewa.

Magazeti ya Tanzania daima ,Mawio na mwanahalisi itabidi wajitafakari kwa sasa wanamtetea nani kwenye maandiko yao???

Kwani walioongea ni Tanzania daima.au Wanachama Wenye Chenge na Werema?Kosa la mwandishi ni lipi??

Tatizo lenu badala ya kufanya kazi mbadala mko busy kutukana wengine.

Fannyieni kazi mawazo ya Lissu.Hatuibiwi kwenye Mchanga maana hata Mchanga ni Mali yao,tunaibiqa Kwenye mikataba na sheria zilizotungwa na waliowengi baada ya kuhonga.Na humo ndani hata Rais wako mpendwa unayemuamini ni wale wale tu.

Hata yeye akipiga,bilioni nane za.kivuko kibovu,nyumba za.serikali, Barabara zilizochini ya kiwango Leo issue ya ndege nazo ni kizungumkuti.Mkuu kama Msafi ndani ya CCM hakuna.Mwmavie amuwajibishe Makonda basi kwa kujilimbikizia Mali zilizo nje ya uwezo wake.Jiulize kwanini.hataki ndipo utajua CCM hakuna Mzalendo wote wapiga deal mkuu utaumia bure.
 
Wezi ni wale waliosaini mikataba na kupitisha miswada kwa dharura bungeni. Wote watoka au kujinasibu na CCM. Kama kweli JPM yuko serious basi awakamate.
 
Km kweli serikali iko serious bas ile mikataba ambayo wali sema n siri ya ikulu na ccm ipelekwe bungeni kujadiliwa upya, hapo tutaona nia ya dhati otherwise .....
 
Tatizo ukweli huwa unawauma sana watu wanafiki mwanzoni gazeti hilo lililalamika sana juu ya mambo hayo mnasema ni siasa hana lolote hapo hata mmeanza kukamatana wenyewe linasema ukweli masheria yenu ya ajabu yatakavyokuja kuwaumbua mmeanza tena kusema linawageuka mbona enyi wenye akili za kushikiwa mnalalamika tena?pumbavu kweli nyie ,mmeyavulia yaogeni.
 
Vita ya uchumi ni ngumu, imefikia hatua baadhi ya watanzania wenzetu waliotuzungusha mikono wakitaka tuwape nchi walete mabadiliko leo hii ndio wako kifua mbele kuhujumu nchi.

Mwenendo wa baadhi ya wabunge na gazeti la Tanzania daima ni wa kutiliwa mashaka.
Tangu kuibuka kwa Vita kali ya dawa za kulevya habari zinazowekwa mbele na hili gazeti hazina utafiti wala tija yoyote kwa watanzania.
Gazeti hili ni dhahiri sasa linatumika na mafisadi kujisafisha .

Tafiti hupingwa kwa utafiti, huwezi ukawa umejifungia ndani tu alafu ukaping utafiti watu wenye akili timamu na wenye uchungu na nchi yao wakakuelewa.

Magazeti ya Tanzania daima ,Mawio na mwanahalisi itabidi wajitafakari kwa sasa wanamtetea nani kwenye maandiko yao???

Gazeti la Tanzania Daima limechagua kuwa upande wa kuiumiza Tanzania. Hawana hata chembechembe ya uzalendo. Traitors.
 
Vita ya uchumi ni ngumu, imefikia hatua baadhi ya watanzania wenzetu waliotuzungusha mikono wakitaka tuwape nchi walete mabadiliko leo hii ndio wako kifua mbele kuhujumu nchi.

Mwenendo wa baadhi ya wabunge na gazeti la Tanzania daima ni wa kutiliwa shaka.
Tangu kuibuka kwa Vita kali ya dawa za kulevya habari zinazowekwa mbele na hili gazeti hazina utafiti wala tija yoyote kwa watanzania.

Kitendo cha leo kuibuka na front page kwua hatuibiwi kwenye mchanga wa madini inasikitisha sana

Gazeti hili ni dhahiri sasa linatumika na mafisadi kujisafisha .

Tafiti hupingwa kwa utafiti, huwezi ukawa umejifungia ndani tu alafu ukaping utafiti watu wenye akili timamu na wenye uchungu na nchi yao wakakuelewa.

Magazeti ya Tanzania daima ,Mawio na mwanahalisi itabidi wajitafakari kwa sasa wanamtetea nani kwenye maandiko yao???
Ikumbukwe pia mwamba alioupima mtaalamu wa miamba Chenge mwaka 97 sio alioupima Prof Mruma. Tusikariri.
 
Vita ya uchumi ni ngumu, imefikia hatua baadhi ya watanzania wenzetu waliotuzungusha mikono wakitaka tuwape nchi walete mabadiliko leo hii ndio wako kifua mbele kuhujumu nchi.

Mwenendo wa baadhi ya wabunge na gazeti la Tanzania daima ni wa kutiliwa shaka.
Tangu kuibuka kwa Vita kali ya dawa za kulevya habari zinazowekwa mbele na hili gazeti hazina utafiti wala tija yoyote kwa watanzania.

Kitendo cha leo kuibuka na front page kwua hatuibiwi kwenye mchanga wa madini inasikitisha sana

Gazeti hili ni dhahiri sasa linatumika na mafisadi kujisafisha .

Tafiti hupingwa kwa utafiti, huwezi ukawa umejifungia ndani tu alafu ukaping utafiti watu wenye akili timamu na wenye uchungu na nchi yao wakakuelewa.

Magazeti ya Tanzania daima ,Mawio na mwanahalisi itabidi wajitafakari kwa sasa wanamtetea nani kwenye maandiko yao???
Subiri wazungu watakapokuja kulipwa mamilioni ya pesa kwenye hili kama meli ya samaki ndiyo utaelewa nini kinazungumzwa.
 
Mbona hiyo habari hata mtanzania wameandika! Unaweweseka nini wakati wamemnukuu werema na mzee wa makengeza?
 
Vita ya uchumi ni ngumu, imefikia hatua baadhi ya watanzania wenzetu waliotuzungusha mikono wakitaka tuwape nchi walete mabadiliko leo hii ndio wako kifua mbele kuhujumu nchi.

Mwenendo wa baadhi ya wabunge na gazeti la Tanzania daima ni wa kutiliwa shaka.
Tangu kuibuka kwa Vita kali ya dawa za kulevya habari zinazowekwa mbele na hili gazeti hazina utafiti wala tija yoyote kwa watanzania.

Kitendo cha leo kuibuka na front page kwua hatuibiwi kwenye mchanga wa madini inasikitisha sana

Gazeti hili ni dhahiri sasa linatumika na mafisadi kujisafisha .

Tafiti hupingwa kwa utafiti, huwezi ukawa umejifungia ndani tu alafu ukaping utafiti watu wenye akili timamu na wenye uchungu na nchi yao wakakuelewa.

Magazeti ya Tanzania daima ,Mawio na mwanahalisi itabidi wajitafakari kwa sasa wanamtetea nani kwenye maandiko yao???
Mbona huo ndio ukweli kuwa hatuibiwi kwenye mchanga ila ni kwenye sheria za mikataba tuliyoridhia. Kama mikataba inasema wasafirishe mchanga wote bila kuchambuliwa hapo ndio penye tatizo na sio mchanga. Mbona tunashindwa kuuelewa ukweli mrahisi hivi? Na wale jamaa wakitushitaki tutashindwa hapo. Waliotuingiza kwenye hiyo mikataba ndio tatizo sio mchanga
 
Back
Top Bottom