Wapendwa wana jf, nimepita kwenye mitaa kadhaa ya Dar kutafuta gazeti nilipendalo la Tanzania Daima bila mafanikio. Kila ukiuliza wauzaji wanasema leo halijatoka. Kulikoni? walio karibu na Freemedia watujuze kinachoendelea. Ama ndio magamba wameleta fitina zao kwani leo na kesho ndio mwisho wa propaganda.