Tanzania Daima, Nipashe kupandishwa kizimbani - Annur

GAZETI lenyewe la kuamini ndio hilo AL NNUR...??? Ingekuwa GAZEeI la kuaminika kama MWANANCHI ningetafakari kuamini kweli labda alitukanawa!!
Annuur kwenye front page ya gazeti lao waliandika KOMPYUTA ZA NECTA ZINAPIGA MUZIKI WA INJILI.......wao ndo waliona hiyo ndo habari ya kuuzia gazeti
 
Annuur kwenye front page ya gazeti lao waliandika KOMPYUTA ZA NECTA ZINAPIGA MUZIKI WA INJILI.......wao ndo waliona hiyo ndo habari ya kuuzia gazeti

AL NNUR ni kikundi cha walevi wachache na sidhani kama wanwakilisha maoni ya waislaM woote TZ, na waislam waliokwenda shule wanawakosoa na kuwapinga sana hao AL NNUR, WAPUUZI WALE!!

na mbona Nina marafiki wengi tu waislam wanazikiliza sana gospel na wanazipenda, na wengine hata kwenye simu zao wameweka ringtones za SHUSHO, FLORA MBASHA, ROSE MUHANDO etc!
 
al nnur ni kikundi cha walevi wachache na sidhani kama wanwakilisha maoni ya waislam woote tz, na waislam waliokwenda shule wanawakosoa na kuwapinga sana hao al nnur, wapuuzi wale!!

Na mbona nina marafiki wengi tu waislam wanazikiliza sana gospel na wanazipenda, na wengine hata kwenye simu zao wameweka ringtones za shusho, flora mbasha, rose muhando etc!

pole sana ndugu. One day you will know.
 
Annuur kwenye front page ya gazeti lao waliandika KOMPYUTA ZA NECTA ZINAPIGA MUZIKI WA INJILI.......wao ndo waliona hiyo ndo habari ya kuuzia gazeti

Unajua Annur liko katika rank ya ngapi ya Wasomaji wengi Tanzania?
linashika Kumi bora ya magazeti yenye wasomaji wengi Tanzania, kwa sababu lina specific Audience na lina touch the opressed class. na lina ongoza miongoni mwa reference Newspapers in Tnzania.

subiri ijumaa utaona Impact ya Annur.

ALLAH BLESS ISLAM.
 
Usiangalie nyuma, yai bovu linapita

554644_459444964084831_587583244_n.jpg

hahahahahahaha Bujibuji wewe....
 
Last edited by a moderator:
sawa sawa hao jamaa wametoa picha za uongo! wanafiki wakubwa hlo tanzania daima si unajua la nani? wahariri wa siku hz wahun weng sio wadin coz dini yenyewe ya ukristo hawaijui wababaishaji tu mtu unasoma miez 3 halaf unaajiriwa tanzania daima kuna maajabu hapo si umewaeka watu wakijiwen..
 
Jambo moja nimegundua sisi kama nchi tunatakiwa kuangalia upya sera yetu ya ushirikiano na baadhi ya nchi za Kiarabu! Vurugu hizi zote mpaka huko Zanzibar ni kwasababu ya hawa jamaa! Tumwombe Mungu tufike salama 2015.
 
Unajua Annur liko katika rank ya ngapi ya Wasomaji wengi Tanzania?
linashika Kumi bora ya magazeti yenye wasomaji wengi Tanzania, kwa sababu lina specific Audience na lina touch the opressed class. na lina ongoza miongoni mwa reference Newspapers in Tnzania.

subiri ijumaa utaona Impact ya Annur.

ALLAH BLESS ISLAM.
Mambo mengine ni ya kujitakia tu.
 
Mbona wao wameunguza makanisa zanzibar hatukuja juu kama wao, wakifanyiwa wao ndo wanaona kuwepo kwa udini?
 
NINAKERWA SANA NINAPOSIKIA WATU WANABISHANA AGENDA IKIWA UDINI CHRISTIAN VS MUSLIM Ndugu zangu mazungumuzo ya namuna hii siyo mazuri kwa mstakabali wa Taifa letu. Ubishii wa Udini unakuja vipi jamani sisi ni Watanzania
 
Jambo moja nimegundua sisi kama nchi tunatakiwa kuangalia upya sera yetu ya ushirikiano na baadhi ya nchi za Kiarabu! Vurugu hizi zote mpaka huko Zanzibar ni kwasababu ya hawa jamaa! Tumwombe Mungu tufike salama 2015.

Ndio mwisho wako wa kufikili hapo? kweli vyuo vikuu vya mou ni janga la kitaifa!
 
Hapa Entities ni gazet la Annur vs Nipashe na Tanzania Daima au ni Tanzania Daima na Nipashe vs Ustadh aliyetukanwa?
Anyway si vizuri kwa magazeti ambayo ndio entities kutukana wadau ambao ndio wasomaji.
 
Jambo moja nimegundua sisi kama nchi tunatakiwa kuangalia upya sera yetu ya ushirikiano na baadhi ya nchi za Kiarabu! Vurugu hizi zote mpaka huko Zanzibar ni kwasababu ya hawa jamaa! Tumwombe Mungu tufike salama 2015.

Ok! Tuangalie uhusiano kati yetu na wanaukumbi wa disco maana wanaka kuitumbukiza nchi kwenye dimbwi la damu. Disco linachezwa hadi ofisini! Hii nchi sio ya wacheza disco! Siunakumbuka staji shoo mmoja alisema nchi ikijiunga na OIC damu itamwagika.Wacheza disco bwana! Kuhusu An-nuur hilo ni gazeti la fact na sio vile vigazeti vyenu vya wacheza show vinavyoandika propaganda na uongo mtupu!Waislam huwa tunasimama kwenye ukweli tu na uongo ni dhambi! Ninyi si kuongopa ni sawa?
 
Kuna habari katika Annur ya jana, inayosema kwamba magazeti ya Tanzania Daima na Nipashe yatapandishwa kizimbani kwa uchochezi
Hii ni kutokana kutoa picha ya tukio la Morogoro la Ustadh Juma na kudai ni tukio la Zanzibar.

lakini ustadh huyo alipoomba ufafanuzi kwa Muhariri wa Nipashe anadai alitukanwa matusi ya nguoni na Muhahariri huyo jambo ambalo amedai linaonyesha UDINI WA WAZIWAZI WALIONAO BAADHI YA WAHARIRI WA MAGAZETI NCHINI na amesema anaandaa mashataka dhidi ya magazeti hayo iwe funzo kwa wahahariri wengine wenye kutothamini imani za wengine.

Matusi ya nguoni yana uhusiano gani na udini? Acha propaganda uchwara wewe!
 
Back
Top Bottom