Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
- Thread starter
- #41
Masikitiko yangu ni jinsi waTZ tunakoelekea, tangia jk aidhinishe udini kwenye kampein za uchaguzi yamebaki mapanga tuu
mengine sio ya JK. Tuwaangalie wamiliki wa magazeti haya. mengi tayari ametunikiwa PHD ya Biblia, Mbowe na yeye anajulikana chama alicho. tutegemee nini ndani ya Media room ya vyombo hivi