Tanzania daima ni gazeti la udaku au?

Freetown

JF-Expert Member
Apr 6, 2008
883
73
Naomba kuelimishwa hivi hili gazeti ni la udaku au ni vipi???. inakuwaje maoni ya watu yanatoka kama yalivyo bila kuhaririwa.
someni hapo chini sehemu ya maoni niliyoyaona kwenye Tanzania daima juu ya Tanzania kujiunga au kutojiunga na OIC. sasa ni wazi Watanzania tunaelekea kubaya kama hata vichaa tunaruhusu wawe waandishi wa habari


na kero, bongo Tz, - 26.10.08 @ 03:33 | #51438

WA.********* MAASKOFU TANAINGIA OIC MTAKE MSITAKE.

na CHINGA - 26.10.08 @ 03:53 | #51453

W.A.********* MAASKOFU

na CHINGA - 26.10.08 @ 03:54 | #51454

M.I.K.U.N.D.U YAO MAASKOFU, BASI JUMAPILI IWE SIKU YA KAZI.

na CHINGA - 26.10.08 @ 03:55 | #51455

M.A.G.O.V.I YAO MAASKOFU BASI TUTOKE VATICAN NA JUMIYA YA MADOLA KWANI KATIBA ZAKE ZA KIKRISTU.
HAKUNA CHA MEMBE WALA EMBE DODO SISI LAZIMA TUWE OIC.M.B.O.L.O ZENU WAGARATIA.

na CHINGA - 26.10.08 @ 03:57 | #51457
 
ni lazima mtanzania daima, wa -edit haya maoni kabla hawajatoa, nakumbuka nationmedia ya kenya kupitia daily nation walikuwa na section kama hii, bahati mbaya ikawa misused na wao siku hizi wana -edit kwanza

lakini huku ni kuteleza tu, mtanzania daima linahusikaje na haya maoni?
 
Naomba kuelimishwa hivi hili gazeti ni la udaku au ni vipi???. inakuwaje maoni ya watu yanatoka kama yalivyo bila kuhaririwa.
someni hapo chini sehemu ya maoni niliyoyaona kwenye Tanzania daima juu ya Tanzania kujiunga au kutojiunga na OIC. sasa ni wazi Watanzania tunaelekea kubaya kama hata vichaa tunaruhusu wawe waandishi wa habari


na kero, bongo Tz, - 26.10.08 @ 03:33 | #51438

WA.********* MAASKOFU TANAINGIA OIC MTAKE MSITAKE.

na CHINGA - 26.10.08 @ 03:53 | #51453

W.A.********* MAASKOFU

na CHINGA - 26.10.08 @ 03:54 | #51454

M.I.K.U.N.D.U YAO MAASKOFU, BASI JUMAPILI IWE SIKU YA KAZI.

na CHINGA - 26.10.08 @ 03:55 | #51455

M.A.G.O.V.I YAO MAASKOFU BASI TUTOKE VATICAN NA JUMIYA YA MADOLA KWANI KATIBA ZAKE ZA KIKRISTU.
HAKUNA CHA MEMBE WALA EMBE DODO SISI LAZIMA TUWE OIC.M.B.O.L.O ZENU WAGARATIA.

na CHINGA - 26.10.08 @ 03:57 | #51457

Wewe ndio mdaku maana unajua fika kuwa hayo ni maoni ya watu mbalimbali na sio ya Tanzania Daima. Nyie ndio mnaotumwa na mafisadi kujenga hoja zisizo na mishiko!Tanzania Daima ni gaazeti makini na lililomstari wa mbele kuandika habari za kuwafichua mafisadi na kuwapa tahadhani watetezi wa mafisadi kama wewe.
 
Freetown kwanini unashusha hadhi ya forum hii kwa kuokota matusi mitaani na kuyaweka hapa? Hapana huu nathubutu kuuita upumbavu na ujinga mkubwa.

Unajua wazi kuwa hayo ni maoni ya wasomaji na hayawi edited na mhariri kitendo cha wewe kuyaweka hapa ni kuwadhalilisha hao waliotajwa na forum hii kwa ujumla wake.

Pls mods ondoeni huu uchafu
 
Huyo Chinga alishapigwa marufuku hapa JF. Naona kapata mahali pengine pa kutokea na mitusi yake.
 
Freetown kwanini unashusha hadhi ya forum hii kwa kuokota matusi mitaani na kuyaweka hapa? Hapana huu nathubutu kuuita upumbavu na ujinga mkubwa.

Unajua wazi kuwa hayo ni maoni ya wasomaji na hayawi edited na mhariri kitendo cha wewe kuyaweka hapa ni kuwadhalilisha hao waliotajwa na forum hii kwa ujumla wake.

Pls mods ondoeni huu uchafu

Mkuu sishushi hadhi ya JF nimeona ni mahali pekee ambapo tunaweza kwa pamoja kukemea matusi. Mtanzania daima wangeweka utaratibu mtu akitoa maoni yachujwe kabla ya kuwafikia umma. sioni koso nililofanya labda umenielewa vibaya sijapendezewa kabisa na hayo maoni, nawashukuru waliosema nisamehewe kwa sababu wamelewa nia yangu.
 
Wewe ndio mdaku maana unajua fika kuwa hayo ni maoni ya watu mbalimbali na sio ya Tanzania Daima. Nyie ndio mnaotumwa na mafisadi kujenga hoja zisizo na mishiko!Tanzania Daima ni gaazeti makini na lililomstari wa mbele kuandika habari za kuwafichua mafisadi na kuwapa tahadhani watetezi wa mafisadi kama wewe.

Huo ndo uhuru unaotumika vibaya-wewe huoni kama kuna haja ya hilo gazeti kuzuia maoni ya matusi kama walivyoandika kama yalivyo. mbona magazeti mengi tu yanaruhusu maoni ya wasomaji lakini yanachujwa kwanza-utakuwa unajitukana mwenyewe iwapo utasema hivyo kwa mtu ninayechukia ufisadi kuliko kitu kingine chochote hapa duniani
 
Freetown kwanini unashusha hadhi ya forum hii kwa kuokota matusi mitaani na kuyaweka hapa? Hapana huu nathubutu kuuita upumbavu na ujinga mkubwa.

Unajua wazi kuwa hayo ni maoni ya wasomaji na hayawi edited na mhariri kitendo cha wewe kuyaweka hapa ni kuwadhalilisha hao waliotajwa na forum hii kwa ujumla wake.

Pls mods ondoeni huu uchafu

Wewe ndio mdaku maana unajua fika kuwa hayo ni maoni ya watu mbalimbali na sio ya Tanzania Daima. Nyie ndio mnaotumwa na mafisadi kujenga hoja zisizo na mishiko!Tanzania Daima ni gaazeti makini na lililomstari wa mbele kuandika habari za kuwafichua mafisadi na kuwapa tahadhani watetezi wa mafisadi kama wewe.

ni lazima mtanzania daima, wa -edit haya maoni kabla hawajatoa, nakumbuka nationmedia ya kenya kupitia daily nation walikuwa na section kama hii, bahati mbaya ikawa misused na wao siku hizi wana -edit kwanza

lakini huku ni kuteleza tu, mtanzania daima linahusikaje na haya maoni?

ASANTENI

  1. Mwikimbi
    Jasusi
    Msongoru
    Field Marshal ES
Kwa upeo wenu wa kuelewa, Mungu awazidishie
 
Freetown kwanini unashusha hadhi ya forum hii kwa kuokota matusi mitaani na kuyaweka hapa? Hapana huu nathubutu kuuita upumbavu na ujinga mkubwa.

Unajua wazi kuwa hayo ni maoni ya wasomaji na hayawi edited na mhariri kitendo cha wewe kuyaweka hapa ni kuwadhalilisha hao waliotajwa na forum hii kwa ujumla wake.

Pls mods ondoeni huu uchafu


Huyo Chinga alishapigwa marufuku hapa JF. Naona kapata mahali pengine pa kutokea na mitusi yake
__________________
Mambo si mambo mkulima kala mbegu, habari ndio hiyo!



JAMANI JF NI SEHEMU YA KUFUNDISHANA NA SI KUTISHIANA HAYA MAONI KWELI YAPO NA HATA KAMA NI YA WATU BINAFSI HAMWONI HAYAKUSTAILI KUWEPO NA KAMA YAPO KWA NINI WASIWEKE HUKU KAMA YALIVYO WAJULISHWE UPUMBAVU WAO....HONGEARA KIJANA NJOO UFUMBUE WATYU FANI ZAO ,,,,NA WALA USIOGOPE HATA KAMA ULIKOSEA HUKO NYUMA BADO UNA NAFASI YA KUELIMISHA JAMII HAPA JF,,JF SI YA BABA WALA MAMA YETU YA KILA MMOJA

UHURU MUHIMU ZAIDI
 
Naomba kuelimishwa hivi hili gazeti ni la udaku au ni vipi???. inakuwaje maoni ya watu yanatoka kama yalivyo bila kuhaririwa.
someni hapo chini sehemu ya maoni niliyoyaona kwenye Tanzania daima juu ya Tanzania kujiunga au kutojiunga na OIC. sasa ni wazi Watanzania tunaelekea kubaya kama hata vichaa tunaruhusu wawe waandishi wa habari


na kero, bongo Tz, - 26.10.08 @ 03:33 | #51438

WA.********* MAASKOFU TANAINGIA OIC MTAKE MSITAKE.

na CHINGA - 26.10.08 @ 03:53 | #51453

W.A.********* MAASKOFU

na CHINGA - 26.10.08 @ 03:54 | #51454

M.I.K.U.N.D.U YAO MAASKOFU, BASI JUMAPILI IWE SIKU YA KAZI.

na CHINGA - 26.10.08 @ 03:55 | #51455

M.A.G.O.V.I YAO MAASKOFU BASI TUTOKE VATICAN NA JUMIYA YA MADOLA KWANI KATIBA ZAKE ZA KIKRISTU.
HAKUNA CHA MEMBE WALA EMBE DODO SISI LAZIMA TUWE OIC.M.B.O.L.O ZENU WAGARATIA.

na CHINGA - 26.10.08 @ 03:57 | #51457

Hata kama ni uhuru wa watu kutoa maoni, hayo yaliyotolewa ni matusi na sii maoni! Huwa nashindwa kuamini kama mtu mzima na akili timamu anaweza kuandika matusi na kuita maoni! So kwa kuzingatia hayo matusi (maoni) Tanzania itajiunga na OIC msikonde!
 
Kwa mtaji wa kutetea matusi na kukubali matusi kuchapishwa katika gazeti lako eti kwa kisingizio cha uhuru wa habari huo ni wendawazimu.haiyumkini mtu na heshima zake ukaandika matusi kama haya.kwa huku kusoma pamoja na kuwa na taaluma fulani vilevile kunatoa malezi ya kiungwana kama hukufaidika na elimu basi unamatatizo
 
Huyu chinga kila sehemu ni matusi matusi matusi matusi

Kumpa nafasi ya kumjadili Chinga hapa ni "Kumtukuza" anapaswa kupuuzwa na kutojadiliwa,hiyo itamfanya kujiona Mjinga na kuacha huo Upuuzi wake!!
 
Huyu chinga, inaonekana ni kati ya wale WaTanzania wasiokuwa na maadili.
Ninamuomba Mungu wangu amsamehe maana akili yake ndivyo inavyomtuma.
 
Back
Top Bottom