Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,378
- 39,319
Jamani mbona silioni Tanzania Daima la Leo kwenye mtandao? Kulikuwa na makala nyeti sana... tatizo la kiufundi au niaje maana nimesikia kuna baadhi ya watu wamepita mitaa mbalimbali Dar na kununua kwa mafungu.... what is going on?