Ila nahisi unanitafutia ban kenge wazazi wakoShut the F**k up, familia yangu Ni muhanga, kaa kimya kenge wewe:
Da aiseeee Huyu jamaa namfahamu sana yaani alikuwa ananiungisha sana mishikaki na chips hapa kibandani kwangu,Nimeisikia hii taarifa kama kichwa cha habari kwenye gazeti la Tanzania Daima kupitia radio.
Kwenye taarifa kamili tafadhali atujuze
Maendeleo hayana vyama!