misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,642
- 9,338
Dah!Huyu anakua kigogo Kama si watatu Ni wanne kwa mwaka huu, Alianza Dada Carol Musika alikua Mkurugenzi Msaidizi, ofisi ya Msajili kifo chake Ni utata mtupu mwezi Machi! Kisha Lwajabe na Sasa msuya, hao Ni wale wanafahamika! Musika alikua na miezi 8 tu akitokea Nida kabla ya hapo alikua TBC Kama Naibu Mkurugenzi..system inaua Sana hii..
Ukipewa kesi ya makosa ya mtandaoni utakuwa wamekuonea mkuu? Je awamu za nyuma kabla hii awamu ya tano serikalini wafanyakazi walikuwa hawafi mkuu?
Kifo kinapangwa na muumba sio vinginevyo mkuu.