Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
mkuu na wewe umeingia kundi la kichaa huyu!Waambie na wakristo hawatakiwi CCM, maana chama chao ni CHADEMA
mkuu na wewe umeingia kundi la kichaa huyu!Waambie na wakristo hawatakiwi CCM, maana chama chao ni CHADEMA
Nilijua CUF ni waislam party ....labda baada ya kuolewa na CCM wamewaambukiza uislam
Someni magazeti Watanzania wenzangu. Hii kuhusisha hiki na kile haitusaidii sana. Inatuviza. Inatupunguzia uwezo wa kuielewa vema nchi yetu na viongozi wake. Mimi ni uwezo tu sina. Ningekuwa nayanunua magazeti yote kila siku.Hilo gazeti halina jipya, siku hizi ni kioo cha akina RACHEL huku wakisahau kutangaza maandamano ya CDM, maeneo ya Posta yanakauka na jua hadi siku ya pili, yakikosa wateja
Sijutii kutolisoma hilo gazeti leo. Hili gazeti sasa hivi ni sehemu ya Habari Corporation. Hivi leo kweli mtu unaweza kuzungumzia Tanzania Daima wakati Raia Mwema iko mtaani? labda kama unataka kusoma mawazo ya mafisadi, ndo utapata Tanzania Daima.
Mkuu mbona huku kariakoo yapo mengi vibandani yamejaa watu wanayapita tu sijui kwa nini, labda mitaa ya Rombo ndio hamna
Akina Kibanda wangetutangazia hata kupitia redio pendwa za asubuhi kama CloudsFM, RadioOne, .....Tanzania Daima ya Jumatano ni chakula cha ubongo kwa baadhi yetu.
mkuu ndo maana hata cuf hawasemi eeeh!
Kafanye upya home work yako mkuu.....uko wrong completely!Sijutii kutolisoma hilo gazeti leo. Hili gazeti sasa hivi ni sehemu ya Habari Corporation. Hivi leo kweli mtu unaweza kuzungumzia Tanzania Daima wakati Raia Mwema iko mtaani? labda kama unataka kusoma mawazo ya mafisadi, ndo utapata Tanzania Daima.
Thubutuuuuuuuuuuuu!! Hiyo headline ya leo wangeitangaza redioni watangazaji wote vibarua vingeota nyasi. Sio RFA, ITV, ATN, Mlimani wala TBC walioitangaza Tz Daima
Mkuu picha yako hii inaeleza mengi sana kuhusu wewe, na inaonesha we ni mtu wa namna gani . pole sana jipe moyo mungu atakusaidia
Labda kariakoo kwenye meza za misikitini....
Labda kariakoo kwenye meza za misikitini....
ndoa za ajabu ajabuNilijua CUF ni waislam party ....labda baada ya kuolewa na CCM wamewaambukiza uislam
Hivi kumbe Tanzania Daima bado ni gazeti la Chadema!
Mbona hukusema wachaga wa CCM Nape anawaweka wapi mkuki kwa nguruwe.M.M Mwanakijiji kachemka vibaya na hiyo hoja yake regerege, uwezi kafananisha Dini na kabila, Uislam ni zaidi ya uchaga, sababu kasema Rais wa Jf inaonekana hoja ya msingi, Mwanakijiji vipi Waislam ambao wapo Chadema unawaweka wapi?
Mkuu kwani ulikuwa ujui? si unawaona wanavyotoa maneno, mimi gazeti likishaanza kusifia mafisadi sitaki ata kuliona
Sijutii kutolisoma hilo gazeti leo. Hili gazeti sasa hivi ni sehemu ya Habari Corporation. Hivi leo kweli mtu unaweza kuzungumzia Tanzania Daima wakati Raia Mwema iko mtaani? labda kama unataka kusoma mawazo ya mafisadi, ndo utapata Tanzania Daima.