Tanzania chini ya Serikali sikivu ya CCM hivi ndivyo tulivyo dhidi ya mataifa ya mengine

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Ndugu wapendwa Watanzania hizi ndio takwimu zinaoonesha namna Taifa letu linavyoenenda katika sekta mbalimbali kwa mujibu wa Utafiti na Taarifa ya WEF(World Economic Forum) ya Mwaka 2017.
  • Ubora wa Barabara Sisi Watanzania tunashika nafasi ya 90 kati ya nchi 137 zilizofanyiwa utafiti.
  • Ubora wa Viwanja vya Ndege hapa jamani tuko nafasi ya 114.
  • Ubora wa huduma za umeme(Usambazaji) hapa wakuu tumeshika nafasi ya 119.
  • Ubora wa Sekta Nyeti ya Afya, ndugu zangu tumeshika namba 114.
  • Ubora wa Elimu, jamani ukweli mchungu hapa pia tumeshika namba 122.
  • Katima masomo ya Hisabati na Sayansi, pia tunaogelea namba 119.
  • Katika Uvumbuzi(Innovation) hapa tumeshika nafasi ya 82.
  • Katika Umri wa kuishi(Life expectancy) hapa tumeshika namba 108.
  • Masuala ya Usalama hapa tumeshika namba 83.
  • Aidha, Imani ya kwa wanasiasa hapa sisi tumeambulia namba 48.
 
Yangu macho.

Kama viongozi wenyewe wenye PhD zao ambao wangekuwa chachu ya kusogeza haya yote wamebaki kulinda matumbo yao, sasa tutarajie nini!!?
 
Kwa kuwa umebashiri (sababu hakuna chanzo cha taarifa) ngoja na Mimi nibashiri:
Akili za kushikiwa na aliye juu yako. Tz tuko wa 4.
 
Kwa kuongozwa na chama kimoja cha siasa tangu tupate uhuru na kuibiwa kupigwa bao la mkono wakati wa uchaguzi tupo nafasi ya 1
 
Ndugu wapendwa Watanzania hizi ndio takwimu zinaoonesha namna Taifa letu linavyoenenda katika sekta mbalimbali kwa mujibu wa Utafiti na Taarifa ya WEF(World Economic Forum) ya Mwaka 2017.
  • Ubora wa Barabara Sisi Watanzania tunashika nafasi ya 90 kati ya nchi 137 zilizofanyiwa utafiti.
  • Ubora wa Viwanja vya Ndege hapa jamani tuko nafasi ya 114.
  • Ubora wa huduma za umeme(Usambazaji) hapa wakuu tumeshika nafasi ya 119.
  • Ubora wa Sekta Nyeti ya Afya, ndugu zangu tumeshika namba 114.
  • Ubora wa Elimu, jamani ukweli mchungu hapa pia tumeshika namba 122.
  • Katima masomo ya Hisabati na Sayansi, pia tunaogelea namba 119.
  • Katika Uvumbuzi(Innovation) hapa tumeshika nafasi ya 82.
  • Katika Umri wa kuishi(Life expectancy) hapa tumeshika namba 108.
  • Masuala ya Usalama hapa tumeshika namba 83.
  • Aidha, Imani ya kwa wanasiasa hapa sisi tumeambulia namba 48.
Tafiti uchwara hizo, wazungu hulazimisha majibu ya tafiti yafanene na mawazo yao
 
Ndugu wapendwa Watanzania hizi ndio takwimu zinaoonesha namna Taifa letu linavyoenenda katika sekta mbalimbali kwa mujibu wa Utafiti na Taarifa ya WEF(World Economic Forum) ya Mwaka 2017.
  • Ubora wa Barabara Sisi Watanzania tunashika nafasi ya 90 kati ya nchi 137 zilizofanyiwa utafiti.
  • Ubora wa Viwanja vya Ndege hapa jamani tuko nafasi ya 114.
  • Ubora wa huduma za umeme(Usambazaji) hapa wakuu tumeshika nafasi ya 119.
  • Ubora wa Sekta Nyeti ya Afya, ndugu zangu tumeshika namba 114.
  • Ubora wa Elimu, jamani ukweli mchungu hapa pia tumeshika namba 122.
  • Katima masomo ya Hisabati na Sayansi, pia tunaogelea namba 119.
  • Katika Uvumbuzi(Innovation) hapa tumeshika nafasi ya 82.
  • Katika Umri wa kuishi(Life expectancy) hapa tumeshika namba 108.
  • Masuala ya Usalama hapa tumeshika namba 83.
  • Aidha, Imani ya kwa wanasiasa hapa sisi tumeambulia namba 48.
Halafu yule Anti Magufuli (Zito Kabwe) akiipata hii lazima afurahi
 
Nsikitika Sana Raise wangu JPM kuachia wapiga deal waendelee kumzunguka! je halijui hilo??
 
Lo! Nafasi ya 122 katika ubora wa elimu!!! Ina maana shule zetu zinazalisha tu mazuzu? Nchi ya "uchumi wa viwanda" ni ndoto katika hali hii ya utoji elimu duni.
 
Back
Top Bottom