2.Biashara ya madawa ya kulevya hususani biashara ndogo ndogo kuacha zile za kuanzia 10milion-1bilion ambazo mpaka sasa serikali imeshindwa kulitafutia ufumbuzi suala hili.
Kwa mtazamo wangu wanaosababisha kuporomoka kwa maadili Tanzania ni Chadema ambao ndio chanzo cha vurugu na maandamano na kuchochea matusi na udhalilishaji ktk mitandao ya kijamii hasa hapa jamvin'
CCM haifai, itatuletea machafuko, haijui siasa.ccm ni janga la kitaifa tuitokomeze haifai hata kidogo.
Richard fahamu maisha yanaenda kasi sana yapo mambo mengi sana yanayochangia maadili kuporomoka,
1.Matumizi mabaya ya utandawazi
2.Umaskini
3.Ulimbukeni
4.Ukosefu wa ajira
5.Vijana kua na malengo yasiotekelezeka
6.Wazazi kukwepa na kukimbia majukumu yao ya malezi.
Ni shetani
Habagui- hachagui. Yeyote ajiwekae mbali na Mungu- ni rahisi kuyapokea mabadiliko hasi kama hayo.