Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Umeongea vizuri mkuu na uchambuzi wako una afya. Lakini nasikitika thread za kuisasambua magwanda huwa nadra sana kupata positive comments. Humu watu huwa wanapenda useme ''CHADEMA ni kibokooo'', ''Mbowe ana akili sana'' nk. Au vinginevyo uwe unaiponda CCM.