Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,936
- 4,347
Matangazo mengi ya beer za TBL wanapewa watu wa Arusha. Hii kitu imekua inaendelea kwa muda sasa. Castle Lite wanawapo deals Weusi (wasanii kutoka Arusha). G-nako alifanya nyimbo kufanya promotion ya beer ya Kilimanjaro na pia alipewa ubalozi wa beer ya Kilimanjaro. Castle Lite Unlocks ya South Africa walipelekwa Weusi na mabalozi wa Castle Lite ni Weusi. Adam Mchomvu (mtangazaji kutoka Arusha) pia ni balozi wa Castle Lite.
Mimi Mars (sio hata maarufu sana) amepewa ubalozi wa Flying Fish (kinywaji cha TBL) kwa sababu tu ni mtu wa Arusha. Kenedy the remedy mtangazaji kutoka Arusha ni mabalozi pia wa Flying Fish. Tatizo TBL ni nini?
Mbona Serengeti Breweries wao deals za matangazo wanawapa Watanzania wote kama tulivoona kwenye Guiness na Serengeti Lite.
Mimi Mars (sio hata maarufu sana) amepewa ubalozi wa Flying Fish (kinywaji cha TBL) kwa sababu tu ni mtu wa Arusha. Kenedy the remedy mtangazaji kutoka Arusha ni mabalozi pia wa Flying Fish. Tatizo TBL ni nini?
Mbona Serengeti Breweries wao deals za matangazo wanawapa Watanzania wote kama tulivoona kwenye Guiness na Serengeti Lite.