kwa mujibu wa habari hapa kenya kampuni ya bia ya africa mashariki itavunja mkataba wake wa makubaliano ya kibishara na kampuni ya bia Tanzania, hili linafanyika ili waweze kununua kampuni ya bia ya Serengeti. Source KTN news.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.