Tanzania bila vyama

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,596
8,738
Tanzania kwa upande wangu ingefanya vizuri zaidi kama tusingekuwa na vyama. Hii model ya vyama tunaiga kutoka kwa Europe lakini kwa upande wangu Tanzania ingekuwa mbali kama ingekuwa na wagombea huru na serikaliwizara ya sherika iweke utaratibu wa kupiga kura na michango. Nchi yetu kwasasa watu wanazungumzia siasa sana lakini kuna vikwazo vingi vya maendeleo ambavyo tungeweza kutatua bila siasa. Elimu, Afya, michezo si tatizo la serikali pekee bali watanzania wa kawaida hatujakaa chini na kuangalia kwa undani ni jinsi gani tutatatua haya matatizo. Siasa inaushabiki na ni vizuri kuijadili lakini si tatizo pekee na hii ni kwasababu ya mfumo wa siasa tulionao.
 
Tanzania kwa upande wangu ingefanya vizuri zaidi kama tusingekuwa na vyama. Hii model ya vyama tunaiga kutoka kwa Europe lakini kwa upande wangu Tanzania ingekuwa mbali kama ingekuwa na wagombea huru na serikaliwizara ya sherika iweke utaratibu wa kupiga kura na michango. Nchi yetu kwasasa watu wanazungumzia siasa sana lakini kuna vikwazo vingi vya maendeleo ambavyo tungeweza kutatua bila siasa. Elimu, Afya, michezo si tatizo la serikali pekee bali watanzania wa kawaida hatujakaa chini na kuangalia kwa undani ni jinsi gani tutatatua haya matatizo. Siasa inaushabiki na ni vizuri kuijadili lakini si tatizo pekee na hii ni kwasababu ya mfumo wa siasa tulionao.

Hata kutumia magari tumeiga. Kuiga sio kitu kibaya iwapo tu maigizo yenyewe yanakusaidia.
 
Back
Top Bottom