Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,658
- 22,255
Tanzania Uchaguzi wa Rais hupangwa na watu walioapishwa na rais aliyepo madarakani na kutoa matokeo yanayokubalika na rais aliyeiapisha tume.
Ili uchaguzi uwe na tija tume ya uchaguzi iwe ni ajira binafsi na matokeo yatangazwe baada ya mahakama ya kikatiba kuridhika baada ya vigezo vyote visivyo na shaka kuridhiwa na wagombea wa vyama husika, hii italeta heshima kwa nchi.
Ili uchaguzi uwe na tija tume ya uchaguzi iwe ni ajira binafsi na matokeo yatangazwe baada ya mahakama ya kikatiba kuridhika baada ya vigezo vyote visivyo na shaka kuridhiwa na wagombea wa vyama husika, hii italeta heshima kwa nchi.