Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,130
- 21,268
Habari wakuu,
Mimi binafsi naweza sema matatizo yote ya nchi yetu ni katiba, hata JPM isingekuwa katiba ya hovyo iliyopo asingekuwa na mamlaka ya kuendesha nchi namna ile.
Katiba yetu imempa madaraka makubwa sana raisi, yaani anaweza kufanya lolote analotaka, mbaya zaidi nchi yetu unaweza kulala leo, kesho unaamka ni rais.
Siku tukipata rais ambaye anajijua mwenye alivyo ndio siku ya majuto, hii haijalishi ni CCM, Chadema, CUF wala ACT- Wazalendo.
Msifikili kila awamu tutapata rais mstarabu ambaye anajua ubinadamu, kwa hii katiba ya akiamua lolote ni yeye hapingwi, ipo siku tu
Swala kila anayeingia anaanza upya na mambo yake mwenye binafsi kama anaongoza familia ni sababu ya katiba yetu ya hovyo, ipo siku tutajuta kama taifa.
Ndio kama hivyo ufisadi na wizi hadharani unaonekana lakini hakuna wa kulaumiwa wala kuwajibishwa, tunabiki tunaangaliana.
KATIBA, KATIBA, KATIBA
Mimi binafsi naweza sema matatizo yote ya nchi yetu ni katiba, hata JPM isingekuwa katiba ya hovyo iliyopo asingekuwa na mamlaka ya kuendesha nchi namna ile.
Katiba yetu imempa madaraka makubwa sana raisi, yaani anaweza kufanya lolote analotaka, mbaya zaidi nchi yetu unaweza kulala leo, kesho unaamka ni rais.
Siku tukipata rais ambaye anajijua mwenye alivyo ndio siku ya majuto, hii haijalishi ni CCM, Chadema, CUF wala ACT- Wazalendo.
Msifikili kila awamu tutapata rais mstarabu ambaye anajua ubinadamu, kwa hii katiba ya akiamua lolote ni yeye hapingwi, ipo siku tu
Swala kila anayeingia anaanza upya na mambo yake mwenye binafsi kama anaongoza familia ni sababu ya katiba yetu ya hovyo, ipo siku tutajuta kama taifa.
Ndio kama hivyo ufisadi na wizi hadharani unaonekana lakini hakuna wa kulaumiwa wala kuwajibishwa, tunabiki tunaangaliana.
KATIBA, KATIBA, KATIBA