Tanzania bila folen inawezekana jaman;"ujumbe wa wef""

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
K wa wale mnaopitishwa na vingora tunawashauri si mnaenda huko game kusalimiana kuchekeleana ama kusifiana suti zenu bomba mmenua nua wapi ama yale mattoto ya rwanda yana shepu jamani
nawashauri nenden mkaongelee mambo ya maana hata kama ni biashara inayokuhusu na jua itawasadiia na watanzania wengine......nje ya hapo usiache kmueleza mgen jamani leo mnapita free hii aipo kwetu wakiondoka ni moto wa folen mpaka mwisho wanaweza kuwasaidia nini cha kufanya south wana barabara nzuri ...wanaweza kutpa njia nini cha kufanya jamani ...

Narudi kwa lililonileta jamani leo hii laiti Mungu angeniuliza ni nani wa kuwarudisha Dunian Basi ni trafiki waliotutoka..hakika wageni wamesaidia kutupa njia mbadala na kuonyesha kumbe tunaweza
kuondoa folen barabarani...hakika barabara zimekuwa wazi safi jamani kila traffic light ukipita unaku
ta traffic na redio yake anakuita na mkonga wake mwekundu....yaaaaaaaaaannni Raha...
na wala si wengi jamani ni traffic wachache tu wanaweza kutumalizi hili tatizo...kuanzia mjini barabara ya salenda/moroco/mwenge yaani shangwe tupu//upande wa kawe ni shwangwe kujiachia
jamani
Hawa wagen sikjui tuwape nini yale mashimo ya BP pale njia ya kwenda BM BANK yamefukiwa unapita kama uko ikulu...wale wanaokwenda ama kutumia njia ya KAWE mmepewa temporary lami
yale mashimo at least unaweza fukia ukipita...si hapo kwa wale wanaotumia njia ya lugalo
na wanajeshi wameingia mzigoni na mavazi ya njano kama wako migodini wakiita folen jaman
sijui nisemeje mnaokumbuka yale mashimo ya LUGALO yamefukiwa unapita kama unaingia kwa KIKWETE....SASA sijui njia ya kuingilia kwako hilo ndilo tatizo lililobaki tnaangali jinsi ya kufukia mashimo huko kwako...
 
K wa wale mnaopitishwa na vingora tunawashauri si mnaenda huko game kusalimiana kuchekeleana ama kusifiana suti zenu bomba mmenua nua wapi ama yale mattoto ya rwanda yana shepu jamani
nawashauri nenden mkaongelee mambo ya maana hata kama ni biashara inayokuhusu na jua itawasadiia na watanzania wengine......nje ya hapo usiache kmueleza mgen jamani leo mnapita free hii aipo kwetu wakiondoka ni moto wa folen mpaka mwisho wanaweza kuwasaidia nini cha kufanya south wana barabara nzuri ...wanaweza kutpa njia nini cha kufanya jamani ...

Narudi kwa lililonileta jamani leo hii laiti Mungu angeniuliza ni nani wa kuwarudisha Dunian Basi ni trafiki waliotutoka..hakika wageni wamesaidia kutupa njia mbadala na kuonyesha kumbe tunaweza
kuondoa folen barabarani...hakika barabara zimekuwa wazi safi jamani kila traffic light ukipita unaku
ta traffic na redio yake anakuita na mkonga wake mwekundu....yaaaaaaaaaannni Raha...
na wala si wengi jamani ni traffic wachache tu wanaweza kutumalizi hili tatizo...kuanzia mjini barabara ya salenda/moroco/mwenge yaani shangwe tupu//upande wa kawe ni shwangwe kujiachia
jamani
Hawa wagen sikjui tuwape nini yale mashimo ya BP pale njia ya kwenda BM BANK yamefukiwa unapita kama uko ikulu...wale wanaokwenda ama kutumia njia ya KAWE mmepewa temporary lami
yale mashimo at least unaweza fukia ukipita...si hapo kwa wale wanaotumia njia ya lugalo
na wanajeshi wameingia mzigoni na mavazi ya njano kama wako migodini wakiita folen jaman
sijui nisemeje mnaokumbuka yale mashimo ya LUGALO yamefukiwa unapita kama unaingia kwa KIKWETE....SASA sijui njia ya kuingilia kwako hilo ndilo tatizo lililobaki tnaangali jinsi ya kufukia mashimo huko kwako...

Mama mia umeniwahi..nilitaka kusifia hali ya maisha bora toka hawa wageni wafike! Sijawahi kufurahi barabara kama kipindi hiki jamani!
Kumbe solution ya traffic jams ipo!
 
Mama mia umeniwahi..nilitaka kusifia hali ya maisha bora toka hawa wageni wafike! Sijawahi kufurahi barabara kama kipindi hiki jamani!
Kumbe solution ya traffic jams ipo!

sasa unajua nini ....nakuja baada ya dk 5 hili swala ni muhimu na la kitaifa .....
 
nawapongeza traffic kwa kuwa wasafi yaani sijui wamenunuliwa jezi mpya...ama mkifika mchana mnapeleka kusafisha yaani
we acha tu WEF ntakukumbumbuka daima
 
Back
Top Bottom