Sawa weka twakimuCorona imethibitiwa kamanda
Mtalii anataka kutembelea mbuga ya BurigiMtalii yupi huyo?
Nasubiri kitabu cha "Coronisation of Tanzania mainland by dr. Magufuli"
Umeninukuu vibayaBila kusahau cha Mbowe kusemacho I spent 8 billions Tsh with my lovers
Umeninukuu vibaya
Kitumbua si kinaloa kwa kukaa kuanzia asubuhi hapa jf sisterNi Kuhusu bilion nane alizotafuna Mbowe kwa kuwaibia wabunge wake
Watalii watakuwa waanasoma kitabu cha "Coronisation of Tanzania mainland by dr. Magufuli"
Wakiwa kwenye Ndege kuelekea usawa huu
Watu wanapambana na covid nyie mnazungumzia utalii?!Ama kweli dunia kubwa!
Where are those Tourists? Pathetic
Is it?is this an act of deadly desperation to avoid a collapse of the Tanzania economy?
Sawa weka twakimu
Kufungua utalii na kupokea watalii ni vitu viwili tofautiWatalii wapo Serengeti, Ngorongoro na kwenye vivutio vyetu, kama una shida nao wafuate huko. Zanzibar wamefungua utalii vilevile: Tanzania's Zanzibar reopens for tourism activities. Hapa Kazi Tu!
Kufungua utalii na kupokea watalii ni vitu viwili tofauti