franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,400
- 1,451
Ndugu wanajamvi niulize hivi Tanzania Bara inanufaika nini na Muungano wa tanaganyika na Zanzibar? maana nimejaribu kufanya ka-utafiti kidogo sijaona maana kuanzia Raisi/ Makamu wa Rais (mmoja kati yao lazima atoke zanzibar) Appointments za Mawaziri/Naibu Mawaziri, Mabalozi, (sina Uhakika na Makatibu wakuu, Majaji), Wajumbe wa Tume mbali mbali(Uchaguzi, Katiba), Ugawanyaji wa Misaada,Scholarships toka nje ya Nchi, Wabunge toka Zanzibar kuingia Bunge la jamhuri ya Muungano, maamuzi ya kitaifa hayakamiliki mpaka Zanzibar washikirikishwe.