Shoctopus
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 3,434
- 1,985
Kwa mujibu wa Mtaalam wa Afya ya Akili Josefina Kaponya aliyeongea katika kipindi cha DW saa saba mchana 22/10/2022, kuna watu milioni saba nchini Tanzania bara wenye maradhi ya akili! Maana ya takwimu za mtaalam huyo ni kwamba zaidi ya asilimia kumi (10%) ya Watanzania milioni 60 wana matatizo ya akili!
Binafsi nina wasiwasi kuhusu taarifa hii, kama ni kweli ni hatari sana kwa nchi na ni lazima lifanyiwe kazi kwa umakini sana. Lazima tujiulize kama hali hii ni ya kawaida au ni kwa Tanzania tu? Na kwanini iwe hivyo?
Binafsi nina wasiwasi kuhusu taarifa hii, kama ni kweli ni hatari sana kwa nchi na ni lazima lifanyiwe kazi kwa umakini sana. Lazima tujiulize kama hali hii ni ya kawaida au ni kwa Tanzania tu? Na kwanini iwe hivyo?