Tanzania bans Kenyan products even after truce

Nafikiri unajidanganya. Cut story short, please provide us the list of shareholders? If any, why the principle is applied in only one-way handshake?
Your own link has clearly indicated that the Kenya govt ownns 30% of the shares and the rest is owned by private persons, with the shares traded in the Nairobi stock exchange, nimedanganya wapi?

Do not disturb me with stupid questions plz.
 
Your own link has clearly indicated that the Kenya govt ownns 30% of the shares and the rest is owned by private person, with the shares traded in the Nairobi stock exchange, nimedanganya wapi?

Do not disturb me with stupid questions plz.
Ha ha ha , as per regard, you would be deluding yourself.
 
Ndio, lakini msimu uliopita mavuno yalikuwa haba mno, hamkuwa na ya kutosha ya kutuuzia, kama tu mahindi.

Sasa hawa wafanyi biashara wa Tz ndio wakaanza kuagiza kutoka nje, tena kuyauza Kenya.
Kibaya kiko wapi sasa? Kwani viwanda vyote vinavyozalisha Kenya ni vya wakenya? Mbona kupitia mahusiano yetu tunanunua bidhaa zao na kuchangia pato la nchi yenu? Na kwa bidhaa kama ngano isingeletwa ikiwa haijakobolewa, mngeletewa unga,ulioandaliwa na viwanda vyetu, sawa na kununua panado toka Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh? Ulituambia hili kuhusu yule wako mwalimu mkenya:

" yenyewe today i realized how influential i am on you guys! I have noticed how the number of viewers has risen in this thread from 200 to now over 800 just because i have given my opinion on "Mwagi" that i still stand firmly on! I know i am that bitter pill to swallow! most followed bad seed creature by Kenyans in this forum :hail:! BTW i have just remembered one chemistry teacher from Kenya at my o levels that could not pronounce word "vapour"! he usually used to say "fapour" at struggle and accompanied with a liter of saliva oozing out of his protruding teeth we used to come with umbrellas to cover ourselves from "rain"! He must have been a kalenjin!"

Uhuru Kenyatta Angara US Summit

Comment #22
So how is English teacher related to chemistry teacher. Can u say a man who couldn't say vapour is a good English teacher?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No country has ever developed by discrimination ,Kenyans have invested heavenly in Tanzania they should be appreciated instead of being fought .Nevertheless Kenya's spirit is strong ,and will win at the end
Game ndo kwanza linaanza, acha mbwembwe, shuhudia tu. Kibaya zaidi, hatuufati uelekeo wenu kuwakimbiza, tuko na shortcut zetu huku, serikali inapaa, rushwa na ufisadi hatutaki, na wanye nchi wanaamka, bonge la shortcut. Mtaisoma tu namba. Ondoeni uwekezaji wenu, mtajua pa kuwekeza, si tunayafikiria mafuta yetu na gesi yetu ya ziwa Nyasa kwanza, najua suluhisho ni kuungana nao ktk taifa moja. Mtz huwaza huko sio vingano na vibiriti mlivyowekeza na kuzuia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zile


Vipi KQ is it from Kenya?

Kenya Airways Ltd., more commonly known as Kenya Airways, is the flag carrier of Kenya.[4] The company was founded in 1977, after the dissolution of East African Airways. The carrier's head office is located in Embakasi, Nairobi,[5] with its hub at Jomo Kenyatta International Airport.[6]

The airline was wholly owned by the Government of Kenya until April 1995, and it was privatised in 1996, becoming the first African flag carrier to successfully do so.[7] Kenya Airways is currently a public-private partnership. The largest shareholder is the Government of Kenya (29.8.%), followed by KLM, which has a 26.73% stake in the company. The rest of the shares are held by private owners; shares are traded on the Nairobi Stock Exchange, the Dar es Salaam Stock Exchange, and the Uganda Securities Exchange.[7][8]
Kumbe kuna kauwezekano hata Mengi anahisa nyingi humo na watz wengine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kingereza ni lugha muhimu sana duniani, ndio lugha ya biashara na siasa. Hizo nchi zote ambazo umetaja hapo zina watu wengi tu ambao wanazungumza lugha kingereza. Nchi hizo zote hutumia lugha ya kiingereza katika negotiations na mikataba.

Wachina wengi imebainika wanapendelea kupeleka wanao kwenye shule zinazofunza kiingereza.
When in China, u are more likely to meet an English speaking Chinese than say French, leave alone Kiswahili.

The same is the case in Russia, Japan na hizo nchi zote umetaja.

Kwa hivyo komeni hivi visingizio eti kingereza haifai. Hizo nchi zinatumia kingereza katika utemangamano wao na nchi zingine.
Kiswahili tutakiendeleza tu, lakini pia tujifunze hili lugha ya kimataifa.
Sasa Mrusi akija Dar, asijue kingereza wala kiswahili, nanyi pia hamjui kingereza wala kirusi, sasa itakuwaje?
Wakenya daily nahofu akili na uwezo wenu wa kuelewa, nani kasema Tz English haifundishwi? Hata uliyemjibu hakumaanishi hivyo. Sasa watanzania wengi wanajua kingereza hata ya idadi ya wachina wakijuavyo? %%% nimekusaidia hapo kwakuwa uelewa wenu ni shida sana. Tunao wataalamu wa kingereza wakutosha, na falsafa ya lugha, ajifunzae toka A-z upya huijua vyema kulikoni. Nachelea kusema, wataalamu wa kingereza wa Tz ni bora zaidi ya wa KE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hawa walimu wa kenya ni shida wapo vizuri sana asikwambie mtu.. kuna shule moja ya sekondari ipo kilimanjaro wanafunzi wa form 4 wakikaribia kufanya mitihani headmaster huenda kuwachukua walimu 2 wa chemistry kwaajili ya practical miezi 4 kabla ya mitihani.... sijui anatoa wapi hela ila sasa hvi kastaafu...

Shule karibia zote za private za english medium zina walimu kutoka kenya....

Kuna mzee mmoja alimpeleka mwanae shule ya private kenya nafasi darasani alikuwa anashika nafasi ya 10 akaja akamrudisha bongo darasani anashika nafari ya 1
Kizazi chenu ndicho chenye Mikosi, mmekuta elimu imekwisha labda. Ila vyuoni tumesoma na wakenya, Uganda na mataifa mengineyo, hawakuwa wenye akili kivile japo wana bidii sana ktk kujifunza aka wasongo sana nadhani wanajijua ni vilaza. Ungemuuliza huyo mtoto huko Kenya alikuwa akishika nafasi ya ngapi?

Kumbuka, Kenya elimu bure imeanzishwa miaka ya karibuni, inawezekana hata misongamano madarasani haukuwepo pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hawajui ila wanahangaika sana kukijua na wanakihitaji kwasababu ili bidhaa zao zipate soko lazima kiingereza kihusike.
Kiaje mbona mawazo yako ni mafupi hivyo? Kinachoongelewa ni tofauti na unachodhani, mi naamini mtaalamu wa linguistic E. Africa anaweza akawa ni mtz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa Wakenya si ndiyo walianza kuzuia bidhaa kutoka Tanzania kuingia kwao? Sasa makelele ya nini? Si mkauze bidhaa zenu somalia na south sudan. Hapa bongo tu kila shule moja binafsi nusu ya walimu wakenya na ukitembelea hotel zote kubwa wafanyakazi kibao ni wakenya. Ni nani aliwaambia kuwa watanzania hawazihitaji hizo nafasi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kitu usichoelewa ni kwamba shule zote hizo ulizozitaja haukosi mganda au mkenya. pia, tufike kipindi tukubali watz hawajui kiingereza, mtu asiyejua kuongea kiingereza fasaha hawezi kukufundishia mtoto wako akaongea kiingereza fasaha.

What's the issue? Language (English) or Knowledge (subject)?

Please do a reading of The myth of language and knowledge by Martha Qorro.
 
Hongera, halafu pole kwa upofu unaopatiwa huko. Nani kasema hapa kuna kubughudhiana kwa wananchi? Hii ni vita ya kiuchumi /kibiashara Hakuna mapanga hapa, silaha ya mwisho ni kodi na ushuru?

Sent using Jamii Forums mobile app

Naishi comfortable kama raia wa hapa yaani kama Niko nyumbani tu tena wanakuheshimu sana
 
Hongera, halafu pole kwa upofu unaopatiwa huko. Nani kasema hapa kuna kubughudhiana kwa wananchi? Hii ni vita ya kiuchumi /kibiashara Hakuna mapanga hapa, silaha ya mwisho ni kodi na ushuru?

Sent using Jamii Forums mobile app

Namaanisha hakuna xenophobia kama nchi zingine akiona mgeni basi roho inageuka kama ya ushetani anaona umekuja kuchukua vya kwao
 
Hongera, halafu pole kwa upofu unaopatiwa huko. Nani kasema hapa kuna kubughudhiana kwa wananchi? Hii ni vita ya kiuchumi /kibiashara Hakuna mapanga hapa, silaha ya mwisho ni kodi na ushuru?

Sent using Jamii Forums mobile app

Namaanisha hakuna xenophobia kama nchi zingine akiona mgeni basi roho inageuka kama ya ushetani anaona umekuja kuchukua vya kwao
 
Mawazo yako sio sahihi. Huitaji walimu watano kutoka kutoka nje, labda kama unataka kuwa na shule hadhi ya Marist boys and the likes. Jambo moja unalotakiwa kujua ni kwamba si lazima kuwa walimu wengi kutoka nje peke ndio kutatengeneza ufanisi katika shule yako.
Kuendesha shule hizi inahitaji ubunifu na uzoefu mkubwa unless you will incur a lot of unnecessary costs and sometime you can achieve little.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mwenzako ana ubishi usio na tija. Niko na taarifa kuwa waalimu wa kenya pia ni wachapa kazi pia, ni kweli?
Wanaweza wakawa wachapa kazi, lakini hiyo haiondoi uhalali wa kuwa na work permit
 
Back
Top Bottom