Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!

Hiyo gas unayoiona kwenye mitungi ya kupikia ni imported 100% , Watanzania tunadanganywa sana kuna watu wanaamini kabisa akienda kununua gesi kwenye mtungi ni Gesi ya Kusini Tanzania, siyo kweli tuna import hivyo haya mambo ya uchumi wa gesi wa akina Makamba ni uongo na wizi kwani hiyo gesi siyo mali ya Serikali ya JMTZ Serikali itanunua kutoka kwa mmiliki ambaye ni foreigner ingawaje anaichimbia Tanzania, got it ?
Duh.....umeeleweka lakini!
 
Hiyo gas unayoiona kwenye mitungi ya kupikia ni imported 100% , Watanzania tunadanganywa sana kuna watu wanaamini kabisa akienda kununua gesi kwenye mtungi ni Gesi ya Kusini Tanzania, siyo kweli tuna import hivyo haya mambo ya uchumi wa gesi wa akina Makamba ni uongo na wizi kwani hiyo gesi siyo mali ya Serikali ya JMTZ Serikali itanunua kutoka kwa mmiliki ambaye ni foreigner ingawaje anaichimbia Tanzania, got it ?
Muswada wa dharura ulipelekwa bungeni ukapitishwa chapchap kipindi kile kabla hatujamaliza muhula wetu !! Salaaleeh!! Kazi kweli kweli, Dunia hadaa Ulimwengu Shujaa !! Tujirekebishe muda bado upo !!
 
Hilo linakwenda sambamba na income ya watu, Tanzania watu ni low income hata Dar tu matumizi ya Gesi hayawezi kufikia hata tu 20% na Dar ndio mji tajiri Tanzania, hivyo watu wanaotumia kuni au mkaa siyo kwamba hawajui kuna gesi bali hawawezi kumudu hivyo bado mkaa/ kuni ni cheaper kwa matumizi ya kila siku.

Kwa kifupi hakuna kitu hii Serikali inafanya na wala haina plans zozote na kuongeza income za watu, kilichopo ni fitina, majungu na wizi, baaasi !
" kilichopo ni fitna, majungu na wizi, baaasi ! " mwisho wa kunukuu ) kama ni hivyo kwa kweli Mungu anawaona !!
 
Wazungu husema give credit when it id due.

Nikupongeze Paschal kwa mada fikirishi na huyu ndio Paschal niliyemfahamu kabla.

Moja kwa moja kwenye mada , kukosekana kwa vipaumbele ni kutokana na kutumia watu wale wale siku zote kutatua matatizo yale yale yaliyotengenezwa na watu hao hao..it is absurd.

Hakuna proper platform na transparency ya hao wanaomzunguka rais kumshauri , mosi haijulikani ni kina nani , wanapatakanaje na je ikitokea wamepotosha taasisi ya urais wafanywe nini.

Unaweza ukaona tu hili kwenye uteuzi yaani rais anapewa power ya kuteua 98% ya watu bila kuwepo na sababu ya msingi .

Je unakumbuka yule bwana mdogo wa UVCCM aliyelamba uteuzi wa TPDC mpaka watu walivyopaza sauti mitandaoni kuonesha the guy was not fit for the position ndio akatolewa sasa je ilikuaje hadi jina likapita kwenye press na kuletwa in public same as you i wad caught in the mid of the park.

Niseme wazi tu kinachotuponza sie ni hakuna transparency na hii ni kutokana na katiba iliyopo kuna mtu amepewa "umungu" siku ikibadilika sote tutakubali na ndio maana hawakubali.

Mwisho niseme tu wakati nimefika majuu kwa mara ya kwanza miongo kadhaa iliyopita nilipata shida kidogo kuwa flexible na kuitumia akili kwa uhuru na nilijua mengi sana hasa ambavyo serikali za Africa zinafanyia wananchi brainwashing, ilinichukua miaka kadhaa ndipo nikaona nyumbani tu huko pawe ni kuja kusalimia tu .
 
Wanabodi,
Hii ni Makala yangu ya Nipashe Jumapili
View attachment 2158659View attachment 2158660
Tanzania tulipopata Uhuru ile Desemba 9, 1961, sisi Tanzania tukiwa na rasilimali lukuki, lakini sasa hapa tulipo, tukijilinganisha na baadhi ya wenzetu nchi tulizopata nazo uhuru, wengi with nothing compared, kiukweli kabisa, sisi tumeachwa mbali!,

Nikijiuliza tatizo ni nini, ndipo nimekuja na conclusion yangu, sisi Tanzania tuna tatizo katika upangaji wa vipaumbele vyetu!.

Tangu enzi za Nyerere, tumepata uhuru, tukiwa na maadui wakubwa watatu ambao ni adui Ujinga, Umasikini na Maradhi, leo baada ya miaka 60 sio tuu maadui watatu hao bado wapo, bali tumeongeza na maadui wengine wawili wa Rushwa na Ufisadi!.

Falsafa ya Maendeleo ya Mwalimu Nyerere "Ili tuendelee, tunahitaji vitu 4, Watu, Aridhi, Siasa Safi na Uongozi Bora", hivi vyote vinne tulikuwa navyo, sasa tulikwama wapi?.

Falsama hiyo hiyo ilikuwa na makosa, kwa kukinzana na Adam Smith kwenye Land, Labor, Capita na Interprenaship. ilikuwa na omission ya Capital.

Ile Siasa Safi na Uongozi Bora ni kitu kimoja, tulihitaji Capital, uwekezaji mkubwa.

Kwenye upangaji wa vipaumbele vyetu, Mwalimu alikosea, Mwinyi akakosea, Mkapa akakosea, JK akakosea, JPM akakosea, na sasa Samia, asiposaidiwa kwenye hili la upangaji vipaumbele vyetu, pia Samia atakosea, hivyo natoa wito, tumsaidie ili asikosee kwa kuangazia maeneo ya vipaumbele ambavyo huko nyuma yalipuuzwa.

Moja ya maeneo haya ni eneo la sekta ndogo ya umeme.

Ungana nami katika mfulilizo wa makala hizi za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo hutoka kila Jumapili kwenye gazeti la Nipashe, sasa zitakuwa zinaandamana na kipindi cha TV, ambacho kwa kuanzia, kitakuwa kinarishwa na TBC na ITV kuanzia wiki hii.

A 5 min short version
. A full 30 min Prog.

Makala yenyewe ni Hii

MAENDELEO NI NISHATI, NI KOSA KUBWA NISHATI KUTOKUWA KIPAUMBELE


Moja ya kero kubwa kwa Watanzania ni kero ya kukatika katika kwa umeme, Waziri January Makamba amesema, kunachangiwa na ukuaji wa ghafla wa uchumi wa mtu mmoja mmopja, watu wengi zaidi sasa wanatumia vifaa vya umeme ukilinganisha na kule nyuma, hivyo peak demand ya matumizi ya umeme kwa wakati mmoja, kuongezeka maradufu, na kusababisha instability.

Waziri Makamba, amemalizia kwa kuwahakikishia Watanzania, serikali ya awamu ya 6, chini ya Rais Samia, imedhamiria kwa dhati, kukabiliana na changamoto zote zinazoikabili sekta ya nishati, miradi ya kupeleka umeme vijijini, iko pale pale, Tanesco iko kwenye mageuzi makubwa ya kiutendaji kuboresha huduma zake.”

Shida zilizopo tunazijua, changamoto tunazijua, majawa tunayajua, kinachohitaji ni subra na uvumilivu, na baada ya muda sii mrefu, kukatika katika umeme, kutakuwa ni historia”

Paskali

Kwani saizi kipaombe ni nini?

Kwangu mimi miundombinu ya barabara za lami ni kipaombele muhimu zaidi kuliko Nishati Ili kufungua uchumi,Nishati ina alternative
 
Wanabodi,
Hii ni Makala yangu ya Nipashe Jumapili
View attachment 2158659View attachment 2158660
Tanzania tulipopata Uhuru ile Desemba 9, 1961, sisi Tanzania tukiwa na rasilimali lukuki, lakini sasa hapa tulipo, tukijilinganisha na baadhi ya wenzetu nchi tulizopata nazo uhuru, wengi with nothing compared, kiukweli kabisa, sisi tumeachwa mbali!,

Nikijiuliza tatizo ni nini, ndipo nimekuja na conclusion yangu, sisi Tanzania tuna tatizo katika upangaji wa vipaumbele vyetu!.

Tangu enzi za Nyerere, tumepata uhuru, tukiwa na maadui wakubwa watatu ambao ni adui Ujinga, Umasikini na Maradhi, leo baada ya miaka 60 sio tuu maadui watatu hao bado wapo, bali tumeongeza na maadui wengine wawili wa Rushwa na Ufisadi!.

Falsafa ya Maendeleo ya Mwalimu Nyerere "Ili tuendelee, tunahitaji vitu 4, Watu, Aridhi, Siasa Safi na Uongozi Bora", hivi vyote vinne tulikuwa navyo, sasa tulikwama wapi?.

Falsama hiyo hiyo ilikuwa na makosa, kwa kukinzana na Adam Smith kwenye Land, Labor, Capita na Interprenaship. ilikuwa na omission ya Capital.

Ile Siasa Safi na Uongozi Bora ni kitu kimoja, tulihitaji Capital, uwekezaji mkubwa.

Kwenye upangaji wa vipaumbele vyetu, Mwalimu alikosea, Mwinyi akakosea, Mkapa akakosea, JK akakosea, JPM akakosea, na sasa Samia, asiposaidiwa kwenye hili la upangaji vipaumbele vyetu, pia Samia atakosea, hivyo natoa wito, tumsaidie ili asikosee kwa kuangazia maeneo ya vipaumbele ambavyo huko nyuma yalipuuzwa.

Moja ya maeneo haya ni eneo la sekta ndogo ya umeme.

Ungana nami katika mfulilizo wa makala hizi za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo hutoka kila Jumapili kwenye gazeti la Nipashe, sasa zitakuwa zinaandamana na kipindi cha TV, ambacho kwa kuanzia, kitakuwa kinarishwa na TBC na ITV kuanzia wiki hii.

A 5 min short version
. A full 30 min Prog.

Makala yenyewe ni Hii

MAENDELEO NI NISHATI, NI KOSA KUBWA NISHATI KUTOKUWA KIPAUMBELE


Moja ya kero kubwa kwa Watanzania ni kero ya kukatika katika kwa umeme, Waziri January Makamba amesema, kunachangiwa na ukuaji wa ghafla wa uchumi wa mtu mmoja mmopja, watu wengi zaidi sasa wanatumia vifaa vya umeme ukilinganisha na kule nyuma, hivyo peak demand ya matumizi ya umeme kwa wakati mmoja, kuongezeka maradufu, na kusababisha instability.

Waziri Makamba, amemalizia kwa kuwahakikishia Watanzania, serikali ya awamu ya 6, chini ya Rais Samia, imedhamiria kwa dhati, kukabiliana na changamoto zote zinazoikabili sekta ya nishati, miradi ya kupeleka umeme vijijini, iko pale pale, Tanesco iko kwenye mageuzi makubwa ya kiutendaji kuboresha huduma zake.”

Shida zilizopo tunazijua, changamoto tunazijua, majawa tunayajua, kinachohitaji ni subra na uvumilivu, na baada ya muda sii mrefu, kukatika katika umeme, kutakuwa ni historia”

Paskali
Tumalize bwawa la umeme(JNHP),tutakuwa na umeme wa kutosha,kisha serikali iondoe kodi kwenye majiko ya umeme.

Gasi tunayo wasiwasi wangu mikataba iliyofungwa na kina JK.irekebishwe ilinufaishe taifa na sio kikundi cha wachache wateule

Ombi langu usiwe ndani ya payroll ya kijana Makamba ukiwa na assaignment maalumu
 
Waziri January Makamba amesema, kunachangiwa na ukuaji wa ghafla wa uchumi wa mtu mmoja mmopja, watu wengi zaidi sasa wanatumia vifaa vya umeme ukilinganisha na kule nyuma, hivyo peak demand ya matumizi ya umeme kwa wakati mmoja, kuongezeka maradufu, na kusababisha instability.
Huyu ni waziri kwamba kutoka October 2021 watumiaji wameongezeka sn na wakati tuliambia baada ya siku 10 tatizo litaisha kumbe ni baada ya miaka10? Makamba ni waziri wa hovyo kabisa hii wizara Kalemani aliiweza sn sema udini na ukabila ndiyo tatizo.
 
Tumalize bwawa la umeme(JNHP),tutakuwa na umeme wa kutosha,kisha serikali iondoe kodi kwenye majiko ya umeme.

Gasi tunayo wasiwasi wangu mikataba iliyofungwa na kina JK.irekebishwe ilinufaishe taifa na sio kikundi cha wachache wateule

Ombi langu usiwe ndani ya payroll ya kijana Makamba ukiwa na assaignment maalumu
hakuna mwenye nia njema na Tz zaidi ya watu kupiga pesa
 
Huyu ni waziri kwamba kutoka October 2021 watumiaji wameongezeka sn na wakati tuliambia baada ya siku 10 tatizo litaisha kumbe ni baada ya miaka10? Makamba ni waziri wa hovyo kabisa hii wizara Kalemani aliiweza sn sema udini na ukabila ndiyo tatizo.
Taratibu akili zitawakaa sawa tu!

Si mlimfitini kwamba ni sukuma gang?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Wazungu husema give credit when it id due.

Nikupongeze Paschal kwa mada fikirishi na huyu ndio Paschal niliyemfahamu kabla.

Moja kwa moja kwenye mada , kukosekana kwa vipaumbele ni kutokana na kutumia watu wale wale siku zote kutatua matatizo yale yale yaliyotengenezwa na watu hao hao..it is absurd.

Hakuna proper platform na transparency ya hao wanaomzunguka rais kumshauri , mosi haijulikani ni kina nani , wanapatakanaje na je ikitokea wamepotosha taasisi ya urais wafanywe nini.

Unaweza ukaona tu hili kwenye uteuzi yaani rais anapewa power ya kuteua 98% ya watu bila kuwepo na sababu ya msingi .

Je unakumbuka yule bwana mdogo wa UVCCM aliyelamba uteuzi wa TPDC mpaka watu walivyopaza sauti mitandaoni kuonesha the guy was not fit for the position ndio akatolewa sasa je ilikuaje hadi jina likapita kwenye press na kuletwa in public same as you i wad caught in the mid of the park.

Niseme wazi tu kinachotuponza sie ni hakuna transparency na hii ni kutokana na katiba iliyopo kuna mtu amepewa "umungu" siku ikibadilika sote tutakubali na ndio maana hawakubali.

Mwisho niseme tu wakati nimefika majuu kwa mara ya kwanza miongo kadhaa iliyopita nilipata shida kidogo kuwa flexible na kuitumia akili kwa uhuru na nilijua mengi sana hasa ambavyo serikali za Africa zinafanyia wananchi brainwashing, ilinichukua miaka kadhaa ndipo nikaona nyumbani tu huko pawe ni kuja kusalimia tu .
Mkuu comment yako ni muhimu sana.
Ila nilitegemea hapo mwishoni kuwe na muendelezo hasa hapo uliposema kuna vitu hufanywa na serikali zetu kubrain wash raia,how?vitu gani?
Pia ukasema kuna vitu uliviona baada ya kwenda ulaya vikakufanya usitamani kurudi bongo,ni vitu gani hivyo?nimetamani sana kuvijua ili kutanua ubongo


Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,
Hii ni Makala yangu ya Nipashe Jumapili
View attachment 2158659View attachment 2158660
Tanzania tulipopata Uhuru ile Desemba 9, 1961, sisi Tanzania tukiwa na rasilimali lukuki, lakini sasa hapa tulipo, tukijilinganisha na baadhi ya wenzetu nchi tulizopata nazo uhuru, wengi with nothing compared, kiukweli kabisa, sisi tumeachwa mbali!,

Nikijiuliza tatizo ni nini, ndipo nimekuja na conclusion yangu, sisi Tanzania tuna tatizo katika upangaji wa vipaumbele vyetu!.

Tangu enzi za Nyerere, tumepata uhuru, tukiwa na maadui wakubwa watatu ambao ni adui Ujinga, Umasikini na Maradhi, leo baada ya miaka 60 sio tuu maadui watatu hao bado wapo, bali tumeongeza na maadui wengine wawili wa Rushwa na Ufisadi!.

Falsafa ya Maendeleo ya Mwalimu Nyerere "Ili tuendelee, tunahitaji vitu 4, Watu, Aridhi, Siasa Safi na Uongozi Bora", hivi vyote vinne tulikuwa navyo, sasa tulikwama wapi?.

Falsama hiyo hiyo ilikuwa na makosa, kwa kukinzana na Adam Smith kwenye Land, Labor, Capita na Interprenaship. ilikuwa na omission ya Capital.

Ile Siasa Safi na Uongozi Bora ni kitu kimoja, tulihitaji Capital, uwekezaji mkubwa.

Kwenye upangaji wa vipaumbele vyetu, Mwalimu alikosea, Mwinyi akakosea, Mkapa akakosea, JK akakosea, JPM akakosea, na sasa Samia, asiposaidiwa kwenye hili la upangaji vipaumbele vyetu, pia Samia atakosea, hivyo natoa wito, tumsaidie ili asikosee kwa kuangazia maeneo ya vipaumbele ambavyo huko nyuma yalipuuzwa.

Moja ya maeneo haya ni eneo la sekta ndogo ya umeme.

Ungana nami katika mfulilizo wa makala hizi za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo hutoka kila Jumapili kwenye gazeti la Nipashe, sasa zitakuwa zinaandamana na kipindi cha TV, ambacho kwa kuanzia, kitakuwa kinarishwa na TBC na ITV kuanzia wiki hii.

A 5 min short version
. A full 30 min Prog.

Makala yenyewe ni Hii

MAENDELEO NI NISHATI, NI KOSA KUBWA NISHATI KUTOKUWA KIPAUMBELE


Moja ya kero kubwa kwa Watanzania ni kero ya kukatika katika kwa umeme, Waziri January Makamba amesema, kunachangiwa na ukuaji wa ghafla wa uchumi wa mtu mmoja mmopja, watu wengi zaidi sasa wanatumia vifaa vya umeme ukilinganisha na kule nyuma, hivyo peak demand ya matumizi ya umeme kwa wakati mmoja, kuongezeka maradufu, na kusababisha instability.

Waziri Makamba, amemalizia kwa kuwahakikishia Watanzania, serikali ya awamu ya 6, chini ya Rais Samia, imedhamiria kwa dhati, kukabiliana na changamoto zote zinazoikabili sekta ya nishati, miradi ya kupeleka umeme vijijini, iko pale pale, Tanesco iko kwenye mageuzi makubwa ya kiutendaji kuboresha huduma zake.”

Shida zilizopo tunazijua, changamoto tunazijua, majawa tunayajua, kinachohitaji ni subra na uvumilivu, na baada ya muda sii mrefu, kukatika katika umeme, kutakuwa ni historia”

Paskali

Pasco, mwelekezee bandiko hili ambaye ameharibu matarajio ya kupunguza madhila ya tatizo la nishati

Muda sio mrefu kuanzia sasa Chalinze itageuka jangwa maana uwekezaji wa viwanda kwa kufyeka mapori bila kupanda miti unaharibu mazingira na kuchafua hewa kwa kutengeza hewa ukaa ambayo ni tatizo la kiafya kwa binadamu na wanyama wengine.

Manufaa ya nishati ya gesi yalikomea Lindi na Mtwara tu maeneo mengine mtajijua wenyewe

Mmeshauriwa mhamishe maendeleo ya mji mmoja kama Dar Es Salaam kwenda Dodoma na miji mingine inayokuwa kama Morogoro, Iringa, Singida na Manyara ili matumizi ya nishati kama makaa ya mawe, gesi, joto jadidifu na rejeleo la uchafua wa miti kwa kuzalisha nishati uongezeke lakini hamsikii mpaka mtailipua dunia kwa ukaidi wenu.
 
Wanabodi,
Hii ni Makala yangu ya Nipashe Jumapili
View attachment 2158659View attachment 2158660
Tanzania tulipopata Uhuru ile Desemba 9, 1961, sisi Tanzania tukiwa na rasilimali lukuki, lakini sasa hapa tulipo, tukijilinganisha na baadhi ya wenzetu nchi tulizopata nazo uhuru, wengi with nothing compared, kiukweli kabisa, sisi tumeachwa mbali!,

Nikijiuliza tatizo ni nini, ndipo nimekuja na conclusion yangu, sisi Tanzania tuna tatizo katika upangaji wa vipaumbele vyetu!.

Tangu enzi za Nyerere, tumepata uhuru, tukiwa na maadui wakubwa watatu ambao ni adui Ujinga, Umasikini na Maradhi, leo baada ya miaka 60 sio tuu maadui watatu hao bado wapo, bali tumeongeza na maadui wengine wawili wa Rushwa na Ufisadi!.

Falsafa ya Maendeleo ya Mwalimu Nyerere "Ili tuendelee, tunahitaji vitu 4, Watu, Aridhi, Siasa Safi na Uongozi Bora", hivi vyote vinne tulikuwa navyo, sasa tulikwama wapi?.

Falsama hiyo hiyo ilikuwa na makosa, kwa kukinzana na Adam Smith kwenye Land, Labor, Capita na Interprenaship. ilikuwa na omission ya Capital.

Ile Siasa Safi na Uongozi Bora ni kitu kimoja, tulihitaji Capital, uwekezaji mkubwa.

Kwenye upangaji wa vipaumbele vyetu, Mwalimu alikosea, Mwinyi akakosea, Mkapa akakosea, JK akakosea, JPM akakosea, na sasa Samia, asiposaidiwa kwenye hili la upangaji vipaumbele vyetu, pia Samia atakosea, hivyo natoa wito, tumsaidie ili asikosee kwa kuangazia maeneo ya vipaumbele ambavyo huko nyuma yalipuuzwa.

Moja ya maeneo haya ni eneo la sekta ndogo ya umeme.

Ungana nami katika mfulilizo wa makala hizi za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo hutoka kila Jumapili kwenye gazeti la Nipashe, sasa zitakuwa zinaandamana na kipindi cha TV, ambacho kwa kuanzia, kitakuwa kinarishwa na TBC na ITV kuanzia wiki hii.

A 5 min short version
. A full 30 min Prog.

Makala yenyewe ni Hii

MAENDELEO NI NISHATI, NI KOSA KUBWA NISHATI KUTOKUWA KIPAUMBELE


Moja ya kero kubwa kwa Watanzania ni kero ya kukatika katika kwa umeme, Waziri January Makamba amesema, kunachangiwa na ukuaji wa ghafla wa uchumi wa mtu mmoja mmopja, watu wengi zaidi sasa wanatumia vifaa vya umeme ukilinganisha na kule nyuma, hivyo peak demand ya matumizi ya umeme kwa wakati mmoja, kuongezeka maradufu, na kusababisha instability.

Waziri Makamba, amemalizia kwa kuwahakikishia Watanzania, serikali ya awamu ya 6, chini ya Rais Samia, imedhamiria kwa dhati, kukabiliana na changamoto zote zinazoikabili sekta ya nishati, miradi ya kupeleka umeme vijijini, iko pale pale, Tanesco iko kwenye mageuzi makubwa ya kiutendaji kuboresha huduma zake.”

Shida zilizopo tunazijua, changamoto tunazijua, majawa tunayajua, kinachohitaji ni subra na uvumilivu, na baada ya muda sii mrefu, kukatika katika umeme, kutakuwa ni historia”

Paskali
Hii nakala nimeikubali....inaingia akilini sana.....ni kweli falsafa za mwl nyerere zina makosa
 
Mkuu comment yako ni muhimu sana.
Ila nilitegemea hapo mwishoni kuwe na muendelezo hasa hapo uliposema kuna vitu hufanywa na serikali zetu kubrain wash raia,how?vitu gani?
Pia ukasema kuna vitu uliviona baada ya kwenda ulaya vikakufanya usitamani kurudi bongo,ni vitu gani hivyo?nimetamani sana kuvijua ili kutanua ubongo


Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Ahsante mkuu, miomgoni mwa vitu ambavyo nilijifunza kwa wenzetu ni uwazi hakuna kitu kizuri kama uwazi ni muda mrefu sana viongozi wamekua wakitudanganya kuhusu kodi zetu na manufaa yake hasa kwenye matibabu bure hii kitu inawezekana 100% endapo kila tunayempa madaraka (nieleweke hapa kuwa kwa wenzetu kiongozi sie wananchi ndio boss tunamuweka atutumikie akishindwa tunamuweka pembeni) hii kwa Africa ni ngumu hasa Tanzania inasikitisha tu kuna vet clinic Dar huko mbwa anapewa bedrest sehemu nzuri kuliko mtanzania anayelipa kodi na anatumia hospital za umma.

Sababu nyingine ni uwajibikaji sii sijaona walau kwa asilimia walau 5% hakuna anayejali hapa watu wangapi tumeshuhudia waliiba na kutia hasara ila bado wapo wanadunda ila wanapelekwa gerezani ni wale masikini hakuna big step tutapiga kwa hatua hii kama mtu anaiba pesa nyingi na anawajibu watu ni "vijisenti" na bado anapeta tu hawa ilitakiwa wazilipe hizi pesa bila kujali yalifanyika awamu ipi huu ndio uzalendo.

Pia mfumo wa elimu ya nyumbani haumjengi mtoto kuhoji na kuwa huru kifikra historia ifundishwayo haihakisi uhalisia vitu vinavyosomwa haviko in real practice kabisa tunakuwa na miaka mingi ya kukaa darasani ila output ni ndogo.

Suala la uraia pacha limekuwa linafanywa kisiasa wakati chance za kupata uraia wa huku zilipotoka sikujifikiria kabisa wenzangu wawili walisita ila hatimaye miaka 4 mbele waliona nyumbani pia pawe ni pa kuja kusalimia tu, kwa hili serikali inapoteza fursa nyingi kama kimawazo, kitaaluma, kiuchumi na hata viongozi wenye exposure zaidi.
 
Alafu kupikia kuni mkaa sio hata tatizo,sijui unaongea nini.

Huelewi hata vyakula vinatoka humo ni organic na very tasty.

Namkumbuka bibi yangu Tunsume akipika mbalagha ni michozi tu inatutoka kwa moshi wa kuni.

Msosi ukiiva mnateremsha na mtindi na matakapela kisha mbonji.

Yule ilikua hata upeleke mkaa gunia ngapi utazikuta hapo ulipoziacha.

Ye ni kuni tu.

Mama gesi,umeme vipo pia lakini No.

Yuko comfotable akipika na mkaa.

Vitu vingine ni leisure tu si lazima
Watu kama kama wewe mpo wengi nahisi mnashida kichwani,
Unajua wakati tulipoanza kuhama miaka ile kutoka kwenye kutumia mikanda ya kaseti kuna watu walihifadhi vizuri sana kanda za kaseti wakidhani kwamba miaka ya mbeleni huenda zikawa dili,huu ni wendawazimu,
Wapo watu utawasikia gari auto ni za kinamama mwanaume anaendesha manual,huu ni wendawazimu.
Kwa namna dunia inavyopambana kwenye isue ya nishati kuendelea kung'ang'ana na kuni na mkaa ni wendawazimu
 
Nimeona luninga Waziri Makamba akitamba kuwa Tanzania itafanywa kuwa kituo kikubwa cha usambazaji mafuta.

Mimi nikifikiri serikali itafufua kiwanda cha refinery cha TIPER, kumbe sivyo.
TIPER, Tanzania Italian Petroleum Refinery, ilianzishwa na Mwalimu Nyerere kama strategic plant around 1965.

Serikali ya Awamu ya pili chini ya Rais Mwinyi ilifanya KOSA KUBWA kuua kiwanda cha TIPER.

Katika kiwanda hiki nchi ililuwa ikiagiza tu crude oil, a one off operation.
Katika crude oil baada ya ku refine na kudistill hiyo crude oil, utapata mafuta aina zote hadi lami na mafuta ya vaseline.

J Makamba, be strategic.
Mkuu Jidu La Mabambasi kwanza naunga mkono Tanzania kuwa na a big oil refinery, eneo ilipokuwepo Tipper but not necessarily Tipper ndio ifufuliwe, zile mashine za Tipper kwa sasa ni obsolete, zifunguliwe zipelekwe kwenye chuma chakavu.

January Makamba ni very strategic, msikilize hapa akizungumzia hilo



Kwa vile baadhi ya nchi majirani zetu, zinaagiza mafuta nje ya nchi kupitia Dar Port, J. Makamba is very strategic and very right, tukijenga huge oil storage tanks, sisi ndio tukafanya bulk procurement, hizo nchi badala ya kuagiza mafuta kutoka huko, wataagiza kutoka kwetu, hivyo Tanzania kuwa an oil hub.

Kama ni kujenga refinery, tuijenge Chongoleani, Tanga, tununue mafuta ya Uganda, tuachane na kuagiza mafuta ya Waarabu.

Kumhusu January Makamba, karibu pande hizi


p
 
Watu kama kama wewe mpo wengi nahisi mnashida kichwani,
Unajua wakati tulipoanza kuhama miaka ile kutoka kwenye kutumia mikanda ya kaseti kuna watu walihifadhi vizuri sana kanda za kaseti wakidhani kwamba miaka ya mbeleni huenda zikawa dili,huu ni wendawazimu,
Wapo watu utawasikia gari auto ni za kinamama mwanaume anaendesha manual,huu ni wendawazimu.
Kwa namna dunia inavyopambana kwenye isue ya nishati kuendelea kung'ang'ana na kuni na mkaa ni wendawazimu
Je wahusika wanafanyaje kuhamasisha wananchi waachane na kuni na mkaa ??!! Au wanafanya hivyo kwa kupandisha bei ya Gas !! Maana ndivyo inavyofanyika kwa sasa ! Kipindi kidogo kilichopita gas ilikuwa kati ya shs 19,000/_ mpaka 20,000. Sasa hivi gas ni kati ya 24,000. Na 25,000. Hii pesa ni kubwa sana kwa wanyonge japo hilo jina eti mnalikataa !!
 
Back
Top Bottom