johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,759
Huu ndio Ukwelik wamba Mwenyekiti wa CCM ndiye Mdhibiti Mkuu wa Siasa nchini.
Na ndio sababu Rais wa JMT akishachaguliwa faster anapewa Uenyekiti wa Chama lakini Rais wa Zanzibar kuwa Makamu wa Mwenyekiti atasubiri hadi Mkutano Mkuu wa Uchaguzi ufike.
Ikumbukwe Katiba ya JMT ni ya 1977 na Katiba ya CCM ni ya 1977 zote zimefanyiwa tu marekebisho kadhaa.
CHADEMA ni lazima walielewe hili hasa hawa CHADEMA wadogo wadogo akina Mdude.
Mwenyekiti Mkuu wa Vyama vyote vya Siasa ni Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu na kwa sasa ni mpendwa wetu Dr. Samia.
Tunakumbushana tu kwa sababu Chama Kimoja kususa hakutafanya Uchaguzi uhairishwe. CUF walisusa kule Zanzibar lakini Uchaguzi unafanyika na CHADEMA na Wapinzani wengine walishiriki.
Mungu wa mbinguni akubariki!
Na ndio sababu Rais wa JMT akishachaguliwa faster anapewa Uenyekiti wa Chama lakini Rais wa Zanzibar kuwa Makamu wa Mwenyekiti atasubiri hadi Mkutano Mkuu wa Uchaguzi ufike.
Ikumbukwe Katiba ya JMT ni ya 1977 na Katiba ya CCM ni ya 1977 zote zimefanyiwa tu marekebisho kadhaa.
CHADEMA ni lazima walielewe hili hasa hawa CHADEMA wadogo wadogo akina Mdude.
Mwenyekiti Mkuu wa Vyama vyote vya Siasa ni Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu na kwa sasa ni mpendwa wetu Dr. Samia.
Tunakumbushana tu kwa sababu Chama Kimoja kususa hakutafanya Uchaguzi uhairishwe. CUF walisusa kule Zanzibar lakini Uchaguzi unafanyika na CHADEMA na Wapinzani wengine walishiriki.
Mungu wa mbinguni akubariki!