Tanzania bado tuko kwenye kipindi cha kampeni,tena kampeni mfu

moto wa maji

JF-Expert Member
Mar 25, 2016
4,077
2,882
Wananchi wengi wakiwa wanasubiri hali ya maisha iwe nzuri kutoka kwenye serikali waliyoichagua lakini ukiona utawala wenyewe ulivyo ni kama hauamini kwamba umechukua nchi na kuiongoza kwani ukiangalia vizuri utaona bado wanapiga kampeni utadhani miezi ijayo ni uchaguzi ...
kwani wanatoa ahadi nyingi ambazo hawazitekelezi mara nyingi kila kukicha viongozi wengi utawasikia wakitoa ahadi ambazo zinakinzana
Nawakumbusha kuwa nchi mlishachukua itakua vizuri mkikamilisha ahadi mlizotoa kabla ya kutoa ahadi nyingine
 
Wapinzani hawataki kukubali kua wameshindwa na uchaguzi umekwisha. Juhudi zao ni katika kuhakikisha kua serikali ya sasa haifanikiwi. Wapinzani waiache serikali ifanye kazi yake. Hawana ajenda bali wanapinga kila kitu ili wasife kisiasa.
 
Chadema mliahidi mabadiliko, mbona kwenye majimbo yanayoongozwa na wabunge wa Chadema sioni mabadiliko yoyote??

Au hizi ramli mnazopiga ili serikali ya Magufuli ishindwe kutimiza ahadi zake ndio mabadiliko yenu??
 
Chadema mliahidi mabadiliko, mbona kwenye majimbo yanayoongozwa na wabunge wa Chadema sioni mabadiliko yoyote??

Au hizi ramli mnazopiga ili serikali ya Magufuli ishindwe kutimiza ahadi zake ndio mabadiliko yenu??
Nani chadema mkuu?
 
Back
Top Bottom