TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,974
- 15,310
Ni muongo huyu. Norway walifunga mipaka wakati wa Corona. Jana tu wamefungu mipaka na Finland kaskazini.
Huwezi kufika Norway tu kuanza kazi ya ujenzi.
Wamewarudisha raia wa Uzbekistan kwa kufoji vyeti vya construction mwaka ja.
Sasa hivi ndo wa relax lockdown.
Niko hapa 12 years. Siyo rahis kiihivyo mgeni kuja tu mambo yakunyookee.
Ndo namuuliza yupo Norway mji gani? Hapo ndo nitampata
Mmeshapata makaratasi au ndio mnaishi kama digidigi?