Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,960
Dada umemtaftia mdau matatzo.hahahah.unaona sasaaaKwanini ulileta tena hiyo story yako ya kusadikika?
Unajilalamikisha lakini upo tu, nani alikuuliza kama upo Norway? Unapiga picha cha mitandaoni ulivyokosa haya unalazimisha tukuamini wakati picha inasema ni 'screenshot' hapo ndipo shida ilipoanza,
Wewe kama una shida ya pesa sema uchangiwe, sio unaanza kuishi maisha ya kufake ili ugundue nini sasa.