Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,599
- 217,991
Wamecheza soka bovu kabisa ! Hivi kama mnashindwa kuifunga Lesotho mtamfunga nani ?
Kuna haja ya kuiondoa Taifa stars kwenye michuano yote ili kuepuka aibu.
Hii nchi haijajipanga kisoka .
Nakala imfikie Jamal Malinzi , Rais wa TFF.
Kuna haja ya kuiondoa Taifa stars kwenye michuano yote ili kuepuka aibu.
Hii nchi haijajipanga kisoka .
Nakala imfikie Jamal Malinzi , Rais wa TFF.