lolypop
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,430
- 1,681
Acha kuwaza na kufikiri kwamba maendeleo yako yanaletwa na mtu fulani. Maendeleo yako yanaletwa na wewe mwenyewe.Yani mimi katika maraisi wote, namkubali Kikwete na mwinyi...
Kwanza nyerere ndio amesababisha haya yote
Nyerere ni overrated sana
..... Mfano mzee mwinyi ndio angekuwa raisi wetu wa kwanza, leo tungekuwa mbali sana