Samwel Etoo amesha tuvunja nguvu wazee sasa ni dakika ya 22 kipindi cha pili .
Nafikiri amekurupuka maana ni mjumbe wa zamani sana hapa JF ,ila magoli yetu ni mawili maana ukifunga ugenini unaisabiwa mawili ,nadhani mlikuwa mmesahau Wakameruni wanaisabiwa wamesawazisha.Kwani kama ingelikuwa moja moja basi wangelipoteza mechi ,ngoja tusubiri fifa sijui wataamua nini ?hivi kule ukumbi wa spoti hupajui?
Nafikiri amekurupuka maana ni mjumbe wa zamani sana hapa JF ,ila magoli yetu ni mawili maana ukifunga ugenini unaisabiwa mawili ,nadhani mlikuwa mmesahau Wakameruni wanaisabiwa wamesawazisha.Kwani kama ingelikuwa moja moja basi wangelipoteza mechi ,ngoja tusubiri fifa sijui wataamua nini ?