kikahe
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 1,350
- 282
Hello Great thnkers?
Nimekuwa nikijiuliza tabia ya mabasi yakifika kwenye MIZANI wanawaambia abiria washuke mpaka gari lipite na kurudi tena, au kusogea mbele gari ipite kwenye mizani kwanza. Je tanroads hawajui huu mchezo?
Nimewasilisha swali ninalojiuliza kila siku nikipita, Mingoyo,Njia panda Himo, Mikumi, Nk.
Nimekuwa nikijiuliza tabia ya mabasi yakifika kwenye MIZANI wanawaambia abiria washuke mpaka gari lipite na kurudi tena, au kusogea mbele gari ipite kwenye mizani kwanza. Je tanroads hawajui huu mchezo?
Nimewasilisha swali ninalojiuliza kila siku nikipita, Mingoyo,Njia panda Himo, Mikumi, Nk.