TANROADS, kuweni na huruma aisee. Hivi huku kibamba mnajua mnamiliki barabara mbovu sana?
Je kazi mliyopangiwa ya kuassess barabara na kupeleka mapendekezo kwa Mh Rais mliifanya?
Ni lini mtaacha hii kwangua kwangua na kumwagilia maji barabara badala ya kutafuta suluhisho la kudumu?
Kwa kweli wananchi wa huku tunapata tabu sana tena sana. Jengeni basi barabara zenu alafu za huku mitaani tuendelee kupambana na hali zetu wenyewe.
Magari ya watu wanaoishi huku ni sawa na skrepa hata kama ni mapya, usafiri wa umma ni taabu sana kwa sababu ya ubovu wa barabara, tena za TANROADS.
Tunaomba majibu juu ya hili swala kwa kweli.
Kwa uchache wa barabara hizi ni pamoja na;
1. Mbezi mwisho via Makabe, mpigi magoe to Bunju.
2. Mbezi mwisho via Mbezi high school, mpigi magoe to Bunju.
3. Kibamba via kibwegere, mpigi magoe to Bunju. Nk.
Hizi ni barabara za TANROADS ambazo ni viunganishi vizuri sana hapa Dar es Salaam, ila zinaishia kukwanguliwa kwanguliwa tu.
Je kazi mliyopangiwa ya kuassess barabara na kupeleka mapendekezo kwa Mh Rais mliifanya?
Ni lini mtaacha hii kwangua kwangua na kumwagilia maji barabara badala ya kutafuta suluhisho la kudumu?
Kwa kweli wananchi wa huku tunapata tabu sana tena sana. Jengeni basi barabara zenu alafu za huku mitaani tuendelee kupambana na hali zetu wenyewe.
Magari ya watu wanaoishi huku ni sawa na skrepa hata kama ni mapya, usafiri wa umma ni taabu sana kwa sababu ya ubovu wa barabara, tena za TANROADS.
Tunaomba majibu juu ya hili swala kwa kweli.
Kwa uchache wa barabara hizi ni pamoja na;
1. Mbezi mwisho via Makabe, mpigi magoe to Bunju.
2. Mbezi mwisho via Mbezi high school, mpigi magoe to Bunju.
3. Kibamba via kibwegere, mpigi magoe to Bunju. Nk.
Hizi ni barabara za TANROADS ambazo ni viunganishi vizuri sana hapa Dar es Salaam, ila zinaishia kukwanguliwa kwanguliwa tu.