simon baker
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 519
- 690
walioitwa wametolewa leo kwenye gazeti la daily news / guardian if not mistaken,,kama 10 hivi
Nadhani kimya mpaka Leo...kuna utaratibu mbovu sana Tanzania wa uendeshaji wa usaili...Kuna jamaa walishafanya interview ile ile iliyofanyika morogoro ...kabla ya hapo walifanyia Kilimanjaro ...hapo unategemea nini hapo...weight bridge shift in charge...Jamani vipi matokei ya usaili ya waliofanta written pale tanroad morogoro vipi jaman bado