mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF,
Sehemu nyingi naona alama za X Ondoa alafu inapita mwaka watu wanazidi kuchafua barabara na kuingia zaidi, baadhi ufuta kabisa hizi alama, sasa najiuliza huu wino mnaoutumia mnagawiwa bure? Na huyu anayepita kuchorachora kwenye vibanda halipwi chochote?
Kama mna madhumuni ya kweli mkishapitisha ondoa siku inafuata teketeza ili wengine wajifunze kuwa nyie amchezewi.Hawa machinga wamepewa rungu ya kupanga kokokote ili mradi eti haibi cha mtu, sasa hivi hadi road reserve wanajaza vitu jioni waendao wa miguuu wenye haki wanaanga kupishana na magari, wengine uvunjwa miguu kwa kuwaendekeza hawa wanaofanya biashara sehemu yeyote.
Sehemu nyingi naona alama za X Ondoa alafu inapita mwaka watu wanazidi kuchafua barabara na kuingia zaidi, baadhi ufuta kabisa hizi alama, sasa najiuliza huu wino mnaoutumia mnagawiwa bure? Na huyu anayepita kuchorachora kwenye vibanda halipwi chochote?
Kama mna madhumuni ya kweli mkishapitisha ondoa siku inafuata teketeza ili wengine wajifunze kuwa nyie amchezewi.Hawa machinga wamepewa rungu ya kupanga kokokote ili mradi eti haibi cha mtu, sasa hivi hadi road reserve wanajaza vitu jioni waendao wa miguuu wenye haki wanaanga kupishana na magari, wengine uvunjwa miguu kwa kuwaendekeza hawa wanaofanya biashara sehemu yeyote.