Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Wakuu, nimepita sehemu na kukuta ukuta wa bati umeandikwa hivi, sasa nikajiuliza nani anapaswa kutekeleza/hakikisha amri hii ya bomoa inatekelezwa?
Kama aliyejenga ndo anapaswa kubomoa na habomoi nini kinafuata?
Nawaza kama TANROADS wakiisha andika hivo basi wanasepa basi haina haja kwani huko ni kujikosha tu ilhali hakuna hatua yoyote wanayoichukua.
Kama aliyejenga ndo anapaswa kubomoa na habomoi nini kinafuata?
Nawaza kama TANROADS wakiisha andika hivo basi wanasepa basi haina haja kwani huko ni kujikosha tu ilhali hakuna hatua yoyote wanayoichukua.