johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,914
- 141,864
Tanroads wamesema miradi yote ya miundombinu ya barabara na madaraja iliyoasisiwa na hayati Magufuli itakamilika kwa wakati kwa sababu rasilimali zote zinazohitajika zipo ikiwa ni pamoja na uwepo wa makandarasi bora.
Tanroads wamesema hayo wakati wakikagua ujenzi wa daraja la Busisi uliofikia 36%
Source: Star tv
Tanroads wamesema hayo wakati wakikagua ujenzi wa daraja la Busisi uliofikia 36%
Source: Star tv