RORYAKWETU
Member
- Nov 18, 2011
- 83
- 13
Habari jf!. Naomba kujuwa kama TANROADS Kibaha walifanya usaili mi niliomba nafasi ya Shift in charge maana ni mwezi wa pili sasa cijackia. Naomba kufahamu ili kama ndiyo business as usual niendelee na plan B yangu