Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Hii ni barabara inayojengwa huko halmashauri ya kigamboni. Nadhani ni ya tanroads. Kwa sasa barabara inavutia kwa kuwa hakuna mvua.
Tatizo lililopo barabara haina mitaro. Hapo ikinyesha mvua moja ya maana kunakuwa hamna barabara tena hapo na pesa imetumika.
Ushauri wangu; iwe ni lazima kila barabara iwe na bajeti ya kujenga mitaro.
Tatizo lililopo barabara haina mitaro. Hapo ikinyesha mvua moja ya maana kunakuwa hamna barabara tena hapo na pesa imetumika.
Ushauri wangu; iwe ni lazima kila barabara iwe na bajeti ya kujenga mitaro.