N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Juzi kati kuna jamaa katoka huko nduki kafika hapo katumbukia mtaroni mwezi uliopita gari la Driving school lilitumbukia hapo.
Leo nimeshuhudia magari mawili tena yanakwaruzana hapo kila mmoja akigombea upande mzuri wa barabara. But why!?
Nini kinachokwaza ninyi kuziba hiki kipande ambacho ni mbadala wa kupunguza foleni New Bagamoyo road. Asubuhi panakuwa na foleni hapa sababu ya kipande kipana tu ambacho hamjawajibika.
TUNAWATAKA mtengeneze kipande hiki mara moja. Msisubiri matokeo hasi kwenu au watumiaji wa barabara.
Kipande nachozungumzia kipo jirani na UWANJA WA MICHEZO UNUNIO karibu na ST. ANDREA CATHOLIC CHURCH.
Leo nimeshuhudia magari mawili tena yanakwaruzana hapo kila mmoja akigombea upande mzuri wa barabara. But why!?
Nini kinachokwaza ninyi kuziba hiki kipande ambacho ni mbadala wa kupunguza foleni New Bagamoyo road. Asubuhi panakuwa na foleni hapa sababu ya kipande kipana tu ambacho hamjawajibika.
TUNAWATAKA mtengeneze kipande hiki mara moja. Msisubiri matokeo hasi kwenu au watumiaji wa barabara.
Kipande nachozungumzia kipo jirani na UWANJA WA MICHEZO UNUNIO karibu na ST. ANDREA CATHOLIC CHURCH.