Kind
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 247
- 39
TANROAD mpo wapi?
Leo nimekutana na jambo la kusikitisha sana kama sio aibu hapa Jangwani.
Kutokana na ujenzi unaoendelea kumekua na msongamano mkubwa na foreni.
Hapa jangwani kuna njia inaunganisha morogoro road na ile inayotokea kigogo kwenda kaliakoo. Kwasasa imezibwa.
Kuna watu wanawaelekeza magari yapite njia hii iliyofungwa kisha wanaanza kudai ushuru wa sh 400 kwa kila gari. Ukikubali kutoa kuna kijiko kinatoa mchanga unapita na usipotoa wanakuzibia njia.
Nawaomba TANROAD na kampunii hii ya ujenzi kuwachukulia hatua wafanyakazi hawa
Leo nimekutana na jambo la kusikitisha sana kama sio aibu hapa Jangwani.
Kutokana na ujenzi unaoendelea kumekua na msongamano mkubwa na foreni.
Hapa jangwani kuna njia inaunganisha morogoro road na ile inayotokea kigogo kwenda kaliakoo. Kwasasa imezibwa.
Kuna watu wanawaelekeza magari yapite njia hii iliyofungwa kisha wanaanza kudai ushuru wa sh 400 kwa kila gari. Ukikubali kutoa kuna kijiko kinatoa mchanga unapita na usipotoa wanakuzibia njia.
Nawaomba TANROAD na kampunii hii ya ujenzi kuwachukulia hatua wafanyakazi hawa