tatamajuva
Member
- Sep 11, 2019
- 74
- 83
Barabara kutoka Kahama kupitia Msalala jimboni kwa Maige kupitia Mwakitolyo-Mhangu - Misasi wilayani Misungwi imekatika maeneo mengi, eneo la Mwanzugi wilayani Msalala barabara imebomoka na Tanroad wapo likizo hakuna kinachoendelea, huku watu wakitaabika, akina mama wajawazito wanajifungulia njiani kutokana na ubovu wa barabara, eneo la Mwakitolyo.
Wilayani Shinyanga nako barabara haipitiki kutokana na kuharibika maeneo kama manne hivi na wamebuni usafiri wa mitumbwi kuvuka eneo hilo, bidhaa zimepanda bei maradufu, huduma mbalimbali kama afya zimekwama,
Mheshimiwa Rais mpenda watu, mulika TANROAD Mkoa wa shinyanga .
Nina hakika kambi za jeshi zikisaidia kujenga barabara hii watatumia muda mfupi na watajenga madaraja imara chini ya usimamizi wa Tanroad
Sent using Jamii Forums mobile app
Wilayani Shinyanga nako barabara haipitiki kutokana na kuharibika maeneo kama manne hivi na wamebuni usafiri wa mitumbwi kuvuka eneo hilo, bidhaa zimepanda bei maradufu, huduma mbalimbali kama afya zimekwama,
Mheshimiwa Rais mpenda watu, mulika TANROAD Mkoa wa shinyanga .
Nina hakika kambi za jeshi zikisaidia kujenga barabara hii watatumia muda mfupi na watajenga madaraja imara chini ya usimamizi wa Tanroad
Sent using Jamii Forums mobile app