Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,439
- 50,961
Ukisikia tengeneza tatizo kwa makusudi kisha tatua ili majuha wakushangilie, ndiyo hiyo sasa!
Hapo wanajua Magu wakati anaenda Dodoma kumalizia ratiba ya kampeni, atasimama hapo na kusema "...hakuna kuwabomolea wananchi nyumba"!
Weka hii post sticky
Na hilo ndilo litakalofanyika