MSHINO
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,067
- 709
Habari wana jukwaa,
Nimeanza na kichwa hapo. leo ni siku ya 4 mkandarasi amekata rami barabara ya Old Bagamoyo Road ili kufanya marekebisho lakini mashimo yalikatwa mengi na makubwa na yana sharp edge, na hakuna tahadhari au onyo yoyote iliyowekwa kuwa kuna ujenzi unaendelea. Juzi usiku kuna gari ilipasua taili mbili za mbele na kudondoka maeneo ya UNUNIO MABWAWA YA CHUMVI kwenye kona kali huku barabara ikiwa ni nyembamba. Leo asubuhi karo ndogo yenye taili low profile imepasua taili 3.
SWALI: Kwanini mkandarasi anakata mashimo na yanachukua muda mrefu bila matengenezo?
Uzoefu unaonyesha kuwa mkandarasi akipewa kazi anapeleka vifaa site then anachimba chimba harafu anaondoka miezi.
Kuna mkandarasi pale GAIRO- barabara ya Dodoma, na Kingolwira Morogoro wamechimba barabara kulia na kushoto urefu km 1 hivi na mashimo lenye urefu wa 70CM hivi. Mwaka 2018 kuna mashimomengi ya kutosha yalikatwa kati kati ya barabara eneo la chamakweza karibu na Chalinze siku moja magari zaidi ya 20 yalipasua matairi na kusababisha ajali. Mwaka jana 2019 kuna uzembe wa mkandarasi aliyekuwa anajenga daraja alisababisha ajari nyingi barabara ya Dodoma eneo la MBANDE nafikiri kuna kiongozi alipata ajari eneo hili kwani hapakuwa na tahadhari yoyote.
Kwanini TANROAD AU TARURA hawaoni matatizo ya wakandarasi hawa? kuna nini kiasi kwamba safety katika ujenzi haichukuliwi umuhimu?
Nimeanza na kichwa hapo. leo ni siku ya 4 mkandarasi amekata rami barabara ya Old Bagamoyo Road ili kufanya marekebisho lakini mashimo yalikatwa mengi na makubwa na yana sharp edge, na hakuna tahadhari au onyo yoyote iliyowekwa kuwa kuna ujenzi unaendelea. Juzi usiku kuna gari ilipasua taili mbili za mbele na kudondoka maeneo ya UNUNIO MABWAWA YA CHUMVI kwenye kona kali huku barabara ikiwa ni nyembamba. Leo asubuhi karo ndogo yenye taili low profile imepasua taili 3.
SWALI: Kwanini mkandarasi anakata mashimo na yanachukua muda mrefu bila matengenezo?
Uzoefu unaonyesha kuwa mkandarasi akipewa kazi anapeleka vifaa site then anachimba chimba harafu anaondoka miezi.
Kuna mkandarasi pale GAIRO- barabara ya Dodoma, na Kingolwira Morogoro wamechimba barabara kulia na kushoto urefu km 1 hivi na mashimo lenye urefu wa 70CM hivi. Mwaka 2018 kuna mashimomengi ya kutosha yalikatwa kati kati ya barabara eneo la chamakweza karibu na Chalinze siku moja magari zaidi ya 20 yalipasua matairi na kusababisha ajali. Mwaka jana 2019 kuna uzembe wa mkandarasi aliyekuwa anajenga daraja alisababisha ajari nyingi barabara ya Dodoma eneo la MBANDE nafikiri kuna kiongozi alipata ajari eneo hili kwani hapakuwa na tahadhari yoyote.
Kwanini TANROAD AU TARURA hawaoni matatizo ya wakandarasi hawa? kuna nini kiasi kwamba safety katika ujenzi haichukuliwi umuhimu?