Tano bora ya baraza la mawaziri wanaofanya vizuri awamu ya sita

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Sep 9, 2020
6,860
12,291
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Hapa chini ningependa tuorodheshe tano bora ya mawaziri wenye kufanya vizuri zaidi katika serikali hii ya awamu ya sita ya mama yetu mh raisi Samia S. Hassan.

Tukiachana na waziri mkuu ambae yeye ndio mkuu na msimamizi wa shughuli zote za serikali, hiyo chini ni list yang ya mawaziri watano bora katika awamu hii ya mama yetu Samia S. Hassan.

1) waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa- Mh. DKT. Stergomena Lawrence Tax.

2) waziri wa kilimo- Mh. Hussein Bashe.

3) waziri wa maji- Mh. Juma H. Aweso

4) waziri wa utamaduni, sanaa na michezo- Mh. Mohammed O. Mchengerwa.

5) waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki- Mh. Liberata R. Mulamula.

Hii ndio list yangu kwa sasa, ila kama kuna mdau ana list yake ya tano bora ambayo ipo tofauti na hii ya kwangu, basi anaweza kuorodhesha kupitia comment hapo chini.
Hii itasaidia wale mawaziri ambao hawatojiona kwenye list zetu za tano bora wajitafakari kuhusu wapi walipokosea, na nini wakifanye ili kujijengea heshima katika jamii, ili siku nyingine waweze na wao kuwepo kwenye list zetu.

Naomba uzi huu tuuchangie kwa heshima na taadhima. Isiwepo dhihaka, kashfa wala lugha mbaya kwa viongozi wetu na wana JF wenzetu.

Karibuni.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Hapa chini ningependa tuorodheshe tano bora ya mawaziri wenye kufanya vizuri zaidi katika serikali hii ya awamu ya sita ya mama yetu mh raisi Samia S. Hassan.

Tukiachana na waziri mkuu ambae yeye ndio mkuu na msimamizi wa shughuli zote za serikali, hiyo chini ni list yang ya mawaziri watano bora katika awamu hii ya mama yetu Samia S. Hassan.

1) waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa- Mh. DKT. Stergomena Lawrence Tax.

2) waziri wa kilimo- Mh. Hussein Bashe.

3) waziri wa maji- Mh. Juma H. Aweso

4) waziri wa utamaduni, sanaa na michezo- Mh. Mohammed O. Mchengerwa.

5) waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki- Mh. Liberata R. Mulamula.

Hii ndio list yangu kwa sasa, ila kama kuna mdau ana list yake ya tano bora ambayo ipo tofauti na hii ya kwangu, basi anaweza kuorodhesha kupitia comment hapo chini.
Hii itasaidia wale mawaziri ambao hawatojiona kwenye list zetu za tano bora wajitafakari kuhusu wapi walipokosea, na nini wakifanye ili kujijengea heshima katika jamii, ili siku nyingine waweze na wao kuwepo kwenye list zetu.

Naomba uzi huu tuuchangie kwa heshima na taadhima. Isiwepo dhihaka, kashfa wala lugha mbaya kwa viongozi wetu na wana JF wenzetu.

Karibuni.
Huyo bashe mtoe hapo ni anaongea Sana na anaongea Mambo lakini hamna linalotekelezeka ktk mawaziri wa kilimo watakaofeli vibaya ni huyo bashe
 
Unaposema tukiachana na waziri mkuu unamaanisha nini? Ningeshangaa kama ungemweka kwenye orodha
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Hapa chini ningependa tuorodheshe tano bora ya mawaziri wenye kufanya vizuri zaidi katika serikali hii ya awamu ya sita ya mama yetu mh raisi Samia S. Hassan.

Tukiachana na waziri mkuu ambae yeye ndio mkuu na msimamizi wa shughuli zote za serikali, hiyo chini ni list yang ya mawaziri watano bora katika awamu hii ya mama yetu Samia S. Hassan.

1) waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa- Mh. DKT. Stergomena Lawrence Tax.

2) waziri wa kilimo- Mh. Hussein Bashe.

3) waziri wa maji- Mh. Juma H. Aweso

4) waziri wa utamaduni, sanaa na michezo- Mh. Mohammed O. Mchengerwa.

5) waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki- Mh. Liberata R. Mulamula.

Hii ndio list yangu kwa sasa, ila kama kuna mdau ana list yake ya tano bora ambayo ipo tofauti na hii ya kwangu, basi anaweza kuorodhesha kupitia comment hapo chini.
Hii itasaidia wale mawaziri ambao hawatojiona kwenye list zetu za tano bora wajitafakari kuhusu wapi walipokosea, na nini wakifanye ili kujijengea heshima katika jamii, ili siku nyingine waweze na wao kuwepo kwenye list zetu.

Naomba uzi huu tuuchangie kwa heshima na taadhima. Isiwepo dhihaka, kashfa wala lugha mbaya kwa viongozi wetu na wana JF wenzetu.

Karibuni.

Kiongozi mwizi wa kura ana heshima gani hadi michango iwe ya heshima? Ukitaka heshima ingia madarakani kwa njia ya heshima, sio uingie madarakani kihuni kisha utake heshima.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Hapa chini ningependa tuorodheshe tano bora ya mawaziri wenye kufanya vizuri zaidi katika serikali hii ya awamu ya sita ya mama yetu mh raisi Samia S. Hassan.

Tukiachana na waziri mkuu ambae yeye ndio mkuu na msimamizi wa shughuli zote za serikali, hiyo chini ni list yang ya mawaziri watano bora katika awamu hii ya mama yetu Samia S. Hassan.

1) waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa- Mh. DKT. Stergomena Lawrence Tax.

2) waziri wa kilimo- Mh. Hussein Bashe.

3) waziri wa maji- Mh. Juma H. Aweso

4) waziri wa utamaduni, sanaa na michezo- Mh. Mohammed O. Mchengerwa.

5) waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki- Mh. Liberata R. Mulamula.

Hii ndio list yangu kwa sasa, ila kama kuna mdau ana list yake ya tano bora ambayo ipo tofauti na hii ya kwangu, basi anaweza kuorodhesha kupitia comment hapo chini.
Hii itasaidia wale mawaziri ambao hawatojiona kwenye list zetu za tano bora wajitafakari kuhusu wapi walipokosea, na nini wakifanye ili kujijengea heshima katika jamii, ili siku nyingine waweze na wao kuwepo kwenye list zetu.

Naomba uzi huu tuuchangie kwa heshima na taadhima. Isiwepo dhihaka, kashfa wala lugha mbaya kwa viongozi wetu na wana JF wenzetu.

Karibuni.

Tano bora ya walamba asali? Utakuwa umetuchoka kweli kweli. Kwani wewe ni mmoja wao?
 
Kiongozi mwizi wa kura ana heshima gani hadi michango iwe ya heshima? Ukitaka heshima ingia madarakani kwa njia ya heshima, sio uingie madarakani kihuni kisha utake heshima.
Nani aliiba kura wewe? Mnabaki kulalama wakati ilijulikana wazi kwa ule muziki wa magufuli hampati kitu.
Mahakama zilikuepo mnalalama tu. Hata kesi moja ya kupinga matokeo hamkufungua. Hata Mbowe mwenyewe hakufungua kesi kupinga matokeo kwa sababu hakua na ushahidi.
 
Mawaziri na manaibu wote wanafanya vizuri. Kwa kweli wanajitahidi...
Changamoto ni nyingi lakini mdogo mdogo wanasogea...
 
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.

Hapa chini ningependa tuorodheshe tano bora ya mawaziri wenye kufanya vizuri zaidi katika serikali hii ya awamu ya sita ya mama yetu mh raisi Samia S. Hassan.

Tukiachana na waziri mkuu ambae yeye ndio mkuu na msimamizi wa shughuli zote za serikali, hiyo chini ni list yang ya mawaziri watano bora katika awamu hii ya mama yetu Samia S. Hassan.

1) waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa- Mh. DKT. Stergomena Lawrence Tax.

2) waziri wa kilimo- Mh. Hussein Bashe.

3) waziri wa maji- Mh. Juma H. Aweso

4) waziri wa utamaduni, sanaa na michezo- Mh. Mohammed O. Mchengerwa.

5) waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki- Mh. Liberata R. Mulamula.

Hii ndio list yangu kwa sasa, ila kama kuna mdau ana list yake ya tano bora ambayo ipo tofauti na hii ya kwangu, basi anaweza kuorodhesha kupitia comment hapo chini.
Hii itasaidia wale mawaziri ambao hawatojiona kwenye list zetu za tano bora wajitafakari kuhusu wapi walipokosea, na nini wakifanye ili kujijengea heshima katika jamii, ili siku nyingine waweze na wao kuwepo kwenye list zetu.

Naomba uzi huu tuuchangie kwa heshima na taadhima. Isiwepo dhihaka, kashfa wala lugha mbaya kwa viongozi wetu na wana JF wenzetu.

Karibuni.
Chini ya utawala uliopo hakuna waziri bora kwa sasa maana arangi zao halisi wamezificha kwa hofu ya kulinda nafasi kwa hiyo ondoa hoja hii kwa uchangiaji
 
Back
Top Bottom