Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
naomba kuuliza hivi pembe za ndovu zinafanyiwa nn? mautmizi yake
Ni kweli kama wakiziuza hiyo pesa haiwezi kumaliza matatizo yetu yote. Lakini kama zikitumika vizuri, zinaweza kuboresha sana hali ya askari kule porini na hivyo kuimarisha ulinzi [anti-poaching]. Kwa ufahamu wangu wa sector hii ya wanyamapori [I am a stakeholder], bila kuwajali askari wa wanyamapori [game scouts], ujangili hautakoma. Hali yao inavyozidi kuwa mbaya, ndio wanashawishika kuua Tembo ama kuwezesha ujangili kufanyika.
Sasa wewe mtaalamu unayejua "A,B,C, D ya biashara ya pembe za ndovu" nisaidie, kuzichoma pembe za ndovu moto ni "dawa" ya nini? It's like you are saying, the solution to the governance problem within the government and wildlife sector in particular is to set fire to the valuable ivory stockpile.
Problem: Poor governance.
Solution: burn the ivory so that everybody loses.
Really?
Mwanakijiji, wateketekeze fedha? Dollar? Wakati hata fedha ya kumlipa Askari wa Wanyamapori posho hamna? Vitendea kazi hamna? Na kuna ushahidi gani kuwa Serikali ikiteketeza shehena yake ya pembe za ndovu basi biashara hii itakoma? Ni kama vile umefanya hitimisho kuwa shehena hii iliyokamatwa Hong Kong imetoka kwenye maghala ya serikali. Ulimaanisha hivyo?
naomba kuuliza hivi pembe za ndovu zinafanyiwa nn? mautmizi yake
mbona wanatekeza bangi? Kwa nini tusiuze bangi tujenge mashule?
naomba kuuliza hivi pembe za ndovu zinafanyiwa nn? mautmizi yake
Kwa kiasi fulani nakubaliana na wewe MkuuBiashara ya ccm hiyo
Hii nchi nawaambiwa kama ccm watarudi madarakani basi tuombe mapinduzi ya kijeshi!
Biashara ya ccm hiyo
HONG KONG (AP) Hong Kong customs officers have seized over one and a half tonnes of smuggled elephant ivory worth 10.9 million Hong Kong dollars (1.3 million US) shipped from Tanzania, they said Friday.
The 384 ivory tusks -- weighing 1.55 tonnes -- were found Thursday inside two containers labelled as "dried anchovies" at the Tsing Yi container terminal, the Ports and Maritime Command said in a statement.
Two men, aged 46 and 48, have been arrested as part of a continuing investigation, the statement said.
The international trade in elephant ivory, with rare exceptions, has been outlawed since 1989 after elephant populations in Africa dropped from the millions in the mid-20th century to some 600,000 by the end of the 1980s.
Anyone found guilty of importing unmanifested cargo into Hong Kong faces a fine up to two million dollars (260,000 US) and imprisonment for seven years.
In addition, those guilty of importing, exporting or possessing an endangered species for commercial purposes face a fine of up to five million dollars (640,000 US) and two years in jail, the statement said.
Kenya seized two tonnes of raw elephant ivory bound for Asian markets in August, saying it represented the country's largest recovery of elephant ivory in the recent past.
At least 4,000 elephants are killed each year across Africa to supply the illegal ivory trade, according to the conservation group WWF.
Nyara zilizokamatwa!
My Take:
Nilizungumza wakati ule TZ inalilia kuruhusu pembe hizi ziuzwe kihalali. Nilisema kwamba kwa vile wamekataliwa lazima itatatufwa namna tu lazima ziuzwe! Now here we are! Wameuza mbuga zetu, wameuza madini yetu, sasa na pembe zetu za ndogu wanauza kwanini wasizitekekeze kama wanavyofanya Bunduki?