The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,502
- 2,046
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza kabla ya uchaguzi wa 2015 ilikuwa kawaida sana kwa CHADEMA kupokea mamia ya wanaccm waliokuwa wakieleza wazi kuwa aidha wameichoka CCM au wamevutiwa na CHADEMA.
Hali hiyo kwa sasa haipo kabisa badala yake kila mara tunatangaziwa wanachama wa CHADEMA wanakihama chama hicho na kurudi CCM.
Hali hii inasababishwa na nini!?
Hali hiyo kwa sasa haipo kabisa badala yake kila mara tunatangaziwa wanachama wa CHADEMA wanakihama chama hicho na kurudi CCM.
Hali hii inasababishwa na nini!?